Friday , 17 May 2024

Month: December 2021

Tangulizi

Rais Samia awa mbogo, atumbua vigogo bandari, shirika la meli

  MOTO umewaka ndani ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) pamoja na Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), baada ya Rais Samia...

Habari za Siasa

Msajili ailima CUF barua, yatimua wengine

  MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi, amekiandikia barua Chama cha Wananchi (CUF), akikitaka kijieleze dhidi malalamiko ya wanachama...

Habari

Zaidi ya wawekezaji 140 wa Italia wawekeza Tanzania

  Wawekezaji zaidi ya 140 kutoka Italia wamewekeza katika miradi mbalimbali nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Takwimu hizo zimetolewa na Naibu Waziri Wizara...

Habari Mchanganyiko

WADAU: Ukatili wa kijinsia kazini, unaathiri hadi familia

  WADAU wa ukatili wa jinsia nchini Tanzania, wameshauri waajiri wote pamoja na Serikali kuchukua hatua madhubuti ya kukomesha vitendo vya ukatili vinavyorejesha...

Habari

Rais Samia aonya wawekezaji kuzungushwa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa wasaidizi wake, kutowabudhudhi wawekezaji hususan wazawa kwani kufanya hivyo kunachelewesha fursa za ajira....

Michezo

Karia: Ligi ngumu

  RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Wallace Karia amekili kwa kinywa chake kuwa Ligiya msimu huu ni ngumu na hivyo...

Tangulizi

Kilichojiri kesi ya Makonda, hati ya mashtaka yabadilishwa

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam, nchini Tanzania, imekubali ombi la mwandishi mwandamizi wa habari nchiniwanahabari mkongwe, Saed Kubenea, kuondoa...

Michezo

GSM kudhamini Ligi Daraja la kwanza

  MARA baada ya kuingia mkataba hivi karibuni wa kuwa mdhamini mwenza wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kampuni ya Gsm Group imeonesha nia...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaamriwa ilimpe mamilioni Mtanzania iliyomvua uraia

  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR), imeamuru Serikali ya Tanzania, imlipe fidia ya zaidi ya  Sh. 50 milioni,...

Afya

GGML yatoa milioni 84 mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imechangia zaidi ya Sh milioni 84 kusaidia mipango ya serikali katika mapambano dhidi ya VVU na...

Michezo

Kisa viza, Miss Tanzania agonga mwamba kushiriki Miss World

  MWAKILISHI Tanzania (Miss Tanzania) katika mashindano ya urembo duniani – Miss World, Juliana Rugumisa ameshindwa kwenda kushiriki katika mashindano hayo mwaka huu...

Habari za SiasaTangulizi

Ndani ya saa 24 Makonda, kutinga mahakamani

  ALIYEKUWA mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda, anatarajiwa kutinga mahakamani, kesho Ijumaa, tarehe 3 Desemba 2021, ili kujibu...

Habari za Siasa

Rais Samia awatembelea Jaji Warioba, Msuya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatembelea mawaziri wakuu wastaafu, Cleopa Msuya na Jaji Joseph Warioba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa azindua sherehe za uhuru, atoa maagizo mazito

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezindua rasmi maadhimisho ya sherehe za uhuru wa miaka 60 Tanzania Bara na kuwataka Watanzania kuchukua tahadhari dhidi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia aonyesha njia sakata la sukari

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amesema ili nchi iondokane na upungufu wa sukari, inahitajika uongozi madhubuti katika kusimamia uzalishaji wake....

Habari za Siasa

Mbatia ahimiza ushirikiano vita dhidi ya UVIKO-19

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amewaomba Watanzania washirikiane katika mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19). Anaripoti Regina...

Kimataifa

Uganda wakanusha kuikabidhi China uwanja wa Entebe

  Serikali ya Uganda na ubalozi wa China mjini Kampala wamekanusha ripoti kwamba China inaweza kuchukua udhibiti wa uwanja wa ndege wa kimataifa...

Michezo

Kocha Simba aingia ubaridi mchezo wa marudiano Zambia

  MARA baada ya kutoka na ushindi wa mabao 2-1, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Geita Gold Mine, kocha...

Michezo

Tuzo Simba: Morrison awashinda Kagere na Mkude, milioni 2…

  BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Simba ya Tanzania, amejinyakulia tuzo na Sh.2 milioni, baada ya kuchaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa...

Habari Mchanganyiko

TASAF yaombwa kutoa msaada wa mitaji kwa wanufaika

MNUFAIKA wa mpango wa tatu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), wa awamu ya kwanza Antusa Mchau (38), ameiomba serikali kupitia TASAF...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wafunga ushahidi, uamuzi Desemba 14

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar ea Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa kesi ndogo ya kupinga...

Habari

Majaliwa: Hatua kali zichukuliwe wanaowanyanyapaa wanoishi na VVU

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza mamlaka husika kuchukua hatua kali za kisheria kwa watakaobainika kuwanyanyapaa na kuwabagua Watu Wanaoishi na Virusi vya...

MichezoTangulizi

Rais Samia aipongeza Tembo Warriors kufuzu kombe la dunia, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameitumia salamu za pongeza timu ya taifa ya soka la wenye ulemavu ‘Tembo Warriors’ kwa kufuzu...

Habari

Prof Mkumbo awatangazia neema wanafunzi DIT, awapa somo

  WAZIRI wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo amesema, kila mwaka kuanzia 2022, wizara hiyo itakuwa ikitoa zawadi kwa wanafunzi...

Habari za Siasa

Komandoo wa JWTZ aeleza alivyohojiwa kuhusu Mbowe

  ALIYEKUWA Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Gabriel Samheta Mhina, akitoa ushahidi wake katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya...

Habari Mchanganyiko

Waziri mkuu wa zamani wa Lesotho ashitakiwa kwa kumuua mkewe

WAZIRI Mkuu wa zamani wa Lesotho, Thomas Thabane amefikishwa mahakamani anakoshitakiwa kwa mauaji ya mke wake, Lipolelo Thabane, yaliyotokea mwaka 2017. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Waziri wa zamani Zanzibar ajitosa kumrithi Maalim Seif ACT-Wazalendo, ataja ahadi 10

  MJUMBE wa Kamati Kuu, ya Chama cha ACT-Wazalendo, Hamad Masoud Hamad, ametangaza nia ya kugombea uenyekiti wa chama hicho, iliyoachwa wazi na...

Michezo

Tanzania yafuzu kombe la Dunia mchezo wa soka kwa wenye ulemavu

  TIMU ya Tanzania ya soka kwa wenye ulemavu ‘Tembo Warriors’ imefuzu kucheza kombe la dunia Uturuki 2022. Anaripoti John Mapepele, MAELEZO…(endelea). Ni...

Habari za Siasa

CCM yateta na viongozi wafanyabiashara Kariakoo

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM ) kimesema, iwapo kila Mtanzania atawajibika na kufanya kazi kama yalivyo malengo, mipango na...

error: Content is protected !!