MWALIMU Respicius Mtazangira amehukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba adhabu ya kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kusababisha kifo...
By Mwandishi WetuMarch 6, 2019HAMISI Mgeja, swahiba wa Edward Lowassa, Waziri Mkuu Mstaafu, leo tarehe 6 Machi 2019 ametangaza kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Kelvin Mwaipungu...
By Kelvin MwaipunguMarch 6, 2019RAISI wa Madktari nchini Dk.Elisha Osati, ameiomba serikali kuongeza mishahara kwa watumishi wanaotoa huduma kwenye sekta ya afya nchini ili kumudu mahitaji ya...
By Faki SosiMarch 5, 2019BAADA ya kupoteza kwa bao 1-0 mbele ya Guinea kwenye mchezo wa kwanza wa kundi A, timu ya taifa ya vijana Serengeti Boys...
By Kelvin MwaipunguMarch 5, 2019BODI ya Kimataifa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu (IFAB) imefanya mabadiliko ya kanuni ya mchezo wa soka kwenye kikao kilichofanyika wiki iliyopita...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2019MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuendelea na usikilizwaji wa rufaa ya Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
By Faki SosiMarch 5, 2019MBUNGE wa Singida Mashariki (CHADEMA) na Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya upinzani bungeni, Tundu Lissu, “amempasha,” Prof. Palamagamba Kabudi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Lissu...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2019TIMU ya taifa ya vijana umri chini ya miaka 17 Serengeti boys wanatarajia kucheza mchezo wao wa kwanza dhidi ya Guinea katika michuano...
By Kelvin MwaipunguMarch 4, 2019SAKATA la kutekwa mfanyabiashara bilionea nchini, Mohammed Dewj limeibuka tena Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya Rais John Magufuli kuibua maswali upya. Anaripoti...
By Regina MkondeMarch 4, 2019SHUGHULI ya kuwaapisha Profesa Palamagamba Kabudi na Dk. Augustine Mahiga Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 4 Machi 2019, imebeba ujumbe kwa Tundu Lissu, Mbunge...
By Regina MkondeMarch 4, 2019TARATIBU za kukamilisha shughuli ya mazishi ya Ruge Mutahaba, mwanahabari aliyekuwa mtayarishaji wa vipindi vya Clouds Media Group (CMG) yametawaliwa na mvua pia radi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 4, 2019WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa, yuko mbioni kueleza ulimwengu, kilichomsukuma kuondoka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kurejea Chama...
By Mwandishi WetuMarch 4, 2019MVUA kubwa imenyesha jiji Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo Jumapili na bado inaendelea “kupiga” katika maeneo kadhaa jijini hapa. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2019RAIS John Magufuli leo tarehe 2 Machi 2019 ameongoza mamia ya watu ikiwemo baadhi ya viongozi wa kiserikali, kuuaga mwili wa Ruge Mutahaba....
By Regina MkondeMarch 2, 2019PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameelezea namna alivyoupokea msiba wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media...
By Regina MkondeMarch 2, 2019WASIFU uliosomwa na Mwachi Mutahaba ambaye ni mtoto wa kwanza wa Ruge Mutahabu, mwanahabari aliyekuwa mtayarishaji wa vipindi vya Clouds Media Group (CMG), umeibua taswira...
By Regina MkondeMarch 2, 2019JESHI la Polisi limekamata maganga 65 katika Mkoa wa Simiyu na Njombe kwa tuhuma za kuhusika na mauwaji ya watoto yaliyotokea Januari 2019. Anaripoti...
By Bupe MwakitelekoMarch 2, 2019HATUA ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa kutangaza kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana tarehe Mosi Machi 2019, kumeibua mjadala mpana uliobeba...
By Bupe MwakitelekoMarch 2, 2019WAZIRI mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa, ametangaza kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM). Lowassa aliondoka CCM katikati ya mwaka 2015, kufuatia chama hicho...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2019MWILI wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba umewasili jioni ya leo terehe 1 Machi 2018 katika...
By Regina MkondeMarch 1, 2019WAZIRI Mkuu Mstaafu wa serikali ya awamu ya nne, Edward Lowassa amerejea CCM akitokea Chadema. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Lowassa amerejea CCM...
By Regina MkondeMarch 1, 2019HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imepitisha bajeti ya Sh. 180 bilioni kwa lengo la utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kwa Mwaka ujao wa...
By Danson KaijageMarch 1, 2019MAHAKAMA ya Rufaa ya Tanzania, imetupilia mbali maombi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kupinga Mahakama Kuu, kusikiliza maombi ya kurejeshewa dhamana kwa wabunge...
By Faki SosiMarch 1, 2019NIA na dhamira ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete kuwa mlezi wa Ruge Mutahabu, mwanahabari aliyekuwa mtayarishaji wa vipindi vya Clouds Media Group (CMG) yamekatizwa. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2019SERIKALI imetangaza kuajiri walimu 4,549 wa shule za msingi na sekondari katika mwaka wa fedha 2018/19 ili kupunguza uhaba wa walimu ulipo nchini....
By Danson KaijageMarch 1, 2019