Friday , 3 May 2024
Home mwandishi
8778 Articles1248 Comments
Elimu

Umahiri wa Kingereza wanafunzi Tusiime wamshangaza Ofisa Elimu Dar 

  UMAHIRI wa hali ya juu wa kumudu kuzungumza lugha ya kingereza kwa ufasaha ulioonyeshwa na wanafunzi wa shule ya msingi Tusiime umemfurahisha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi: Tumemkamata Mwabukusi, Mdude kwa mahojiano

Jeshi la Polisi nchini limethibitisha kuwakamata Wakili Boniface Mwabukusi na Mpaluka Said Nyagali maarufu kama Mdude kwa tuhuma za kutoa maneno ya uchochezi....

Kimataifa

Mkutano maandalizi ya uvamizi kijeshi Niger waahirishwa

Mataifa ya Afrika ya Magharibi yamesitisha mkutano muhimu wa kijeshi juu ya mzozo wa Niger ikiwa ni siku moja baada ya kusema maazimio...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili Mwabukusi mbaroni, yumo pia Masonga na Mdude

MWANASHERIA mahiri nchini na Wakili wa kujitegemea, Boniface Mwabukusi amekamatwa na jeshi la Polisi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali, akiwamo...

Habari za Siasa

Rais Samia awapangia vituo vya kazi mabalozi 10, Dk. Nchimbi arejeshwa nyumbani

RAIS Samia Suluhu Hassan amewapangia vituo vya kazi mabalozi wakiwemo mabalozi wateule sita aliowateua tarehe 10 Mei 2023 na kuwabadilisha vituo vya kazi...

Habari za SiasaTangulizi

IGP Wambura acharuka, asema kuna watu wanataka kuiangusha Serikali, “wasitikise kiberiti”

MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillius Wambura amesema kuna kundi la watu ambao wamepanga kuandaa maandamano nchi nzima ili kuiangusha Serikali ya...

Kimataifa

Moto waua 53 Marekani, watu wajitosa baharini

WATU zaidi ya 53 wamefariki duniani huku wengine zaidi ya 100 wakiripotiwa kupotea katika kisiwa cha Maui jimbo la Hawaii nchini Marekani kutokana...

Habari Mchanganyiko

Watendaji kata, vijiji wanolewa matumizi mfumo wa kihasibu

JUMLA ya watendaji 18 wa kata,  92 wa vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga wanatarajiwa kupatiwa mafunzo maalumu kuhusu matumizi...

Kimataifa

41 wafariki katika ajali ya Meli

AJALI ya meli iliyotokea karibu na nchi ya Italia kwenye kisiwa cha Lampedusa imesababisha vifo vya wahamiaji 41 huku wachache wakinusurika katika ajali...

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi litaendelea kushirikisha Jamii kutokomeza uhalifu

JESHI la Polisi limesema litaendelea kushirikisha Jamii katika kupambana na uhalifu katika maeneo mabalimbali hapa Nchini huku likipongeza wadau wenye mapanzi mema na...

Habari za Siasa

60% maeneo kanda ya ziwa hayana maji safi na salama- Mbowe

  MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendelo- CHADEMA, Freeman Mbowe, amesema kuwa zaidi ya asilimia 60 ya maeneo ya ukanda wa Ziwa...

Michezo

Wanne kuiwakilisha Tanzania chaguo la awali Future Face

  WANAMITINDO wanne kati ya 200 waliojitokeza kwenye usaili wa Shindano la Future Face 2023 wameteuliwa kuiwakilisha Tanzania kwenye chaguo la awali la...

Habari Mchanganyiko

Wakili Mwabukusi atoa siku 14 kwa Bunge, atangaza maandamano yasiyo na ukomo

  WAKILI Boniface Mwabukusi anayeongoza jopo la mawakili waliosimamia kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne mkoani Mbeya, ametangaza maandamano yasiyo na ukomo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwabukusi ataja sababu 3 kukata rufaa kupinga hukumu kesi DP World

  WAKILI Boniface Mwabukusi anayeongoza jopo la mawakili waliosimamia kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne mkoani Mbeya, ametangaza kukata rufaa kupinga hukumu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama kuu yabariki mkataba DP World, yadai haujakiuka Katiba

  MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya leo Alhamisi imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne wakiongozwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Abiria ABOOD walionusurika ajalini, wazua timbwili, Mbunge Abood ang’aka

KAMPUNI ya mabasi ABOOD imeingia matatani baada ya uongozi wa kampuni hiyo kuwalazimisha abiria zaidi ya 50 kusafiri kwa basi bovu lililopata ajali...

BiasharaHabari

Jaji Maghimbi agomea muungano TWIGA, Tanga Cement

SAKATA la kampuni ya Tanga Cement kuuzwa limezidi kuchukua sura mpya baada ya mmoja wa wajumbe wa Tume ya Ushindani wa Haki FCC,...

Habari Mchanganyiko

MAFUNDI wawili wa mashine za kieletroniki za EFD, na mwanamke mmoja msimamizi wa gereji, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni wakikabiliwa na...

Habari Mchanganyiko

JKT kuwanoa vijana wa BBT kwa mwezi mmoja

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema zaidi ya vijana 800 wanaotarajiwa kuhitimu mafunzo ya BBT mwaka huu wanatarajiwa kunolewa kuhusu masuala ya uzalendo...

Habari Mchanganyiko

Ruvuma kinara uzalishaji mazao ya nafaka

Rais Samia Suluhu Hassan akimkabidhi tuzo Mkuu mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere baada ya mkoa huo kushika nafasi ya pili na kutanguliwa...

Habari Mchanganyiko

Mkutano wakuu wa nchi, Serikali SADC ngazi ya wataalaam waanza Angola

TANZANIA inashiriki Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofunguliwa leo tarehe 08...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aagiza benki kupunguza riba kwa wakulima

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amezitaka benki zote nchini zinazotoa mikopo, kupunguza riba ili kutowaumiza wakulima wenye nia ya kuendeleza kilimo...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Serikali haijafunga mipaka kuuza mazao nje ya nchi

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haijafunga mipaka kuuza mazao nje ya nchi, bali inataka kuwe na mfumo wa ununuzi, uuzaji na usafirishaji...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo awachongea wakuu wa mikoa, wilaya kwa Rais Samia

KATIBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutoa kauli kuhusu wakuu wa wilaya na mikoa ambao wameshindwa kuthibiti kikundi...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Uzalishaji chakula umezidi kuimarika

Tanzania imezidi kujidhatiti katika kuzalisha chakula kutoka tani 17,148,290 mwaka 2021/202/ hadi kufikia tani 20,402,014 mwaka 2023. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yameelezwa na...

Habari Mchanganyiko

Vijana 420 wawezeshwa kutengeneza vihenge kuthibiti sumu kuvu

JUMLA ya vijana 420 kutoka Tanzania Bara na Visiwani wanatarajiwa kujiajiri kupitia mafunzo waliyopatiwa na Serikali kwa ajili ya kuwatengenezea wakulima vihenge vitakavyowasaidia...

Habari za Siasa

Bashe aweka historia Samia akizindua program uchimbaji visima 67800

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumanne amezindua programu ya uchimbaji wa visima kwa ajili ya wakulima wadogo 67,850 kwa nchi nzima zitakazowezesha jumla...

Habari Mchanganyiko

Wakulima waanika faida matumizi mfumo T-HAKIKI, waita wenzao kujisajili

WAKULIMA wa mikoa ya Nyanda za Juu wametoa wito kwa wakulima wenzao wa mazao mbalimbali kujisajili na mfumo wa kuhakiki mbegu kiteknolojia T-HAKIKI...

Biashara

Rais Samia apongeza mchango wa NMB kwenye Kilimo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hasaan, ameipongeza Benki ya NMB kwa mchango uliotukuka kwenye Sekta ya Kilimo, Uvuvi, Ufugaji na Misitu, sambamba...

Biashara

Rais Samia avutiwa bima ya kilimo ya NBC, awaomba wakulima kuchangamkia fursa

Rais Samia Suluhu Hassan ameitaja huduma ya bima ya kilimo inayotolewa na benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kama mmoja ya suluhisho muhimu...

Kimataifa

Kiongozi upinzani Senegali agoma kula, alazwa

MWANZILISHI wa Chama cha Siasa cha PASTEF nchini Senegal, Ousmane Sonko amelazwa katika Hospitali Kuu katika mji mkuu wa Senegal, Dakar baada ya...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya Bunge yatembelea Banda la NMB Nane Nane jijini Mbeya

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, imetembelea Banda la Benki ya NMB katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo...

Biashara

NMB, AGRICOM waita wakulima kuchangamkia mikopo, zana za kilimo

BENKI ya NMB na Kampuni ya Agricom Africa, wamewahakikishia wakulima nchini, kwamba ushirikiano baina ya taasisi hizo ndio mkombozi wa sekta ya kilimo,...

Habari Mchanganyiko

GGML yadhibitisha dhamira yake ya kuendeleza wahandisi wanawake

KAMPUNI ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML), imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika...

Biashara

STANBIC, AGRICOM kuanza kutoa mikopo ya zana za kilimo kwa wakulima

BENKI ya Stanbic Tanzania (SBT), kwa kushirikiana na kampuni ya AgriCom Africa (AA), inatarajia kuanzia kutoa mikopo ya zana za kilimo kwa wakulima...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yaahirisha hukumu ya kesi ya ‘DP Word’

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya, leo Jumatatu, imeahirisha kutoa uamuzi wa shauri la madai lililofunguliwa na raia watano, wanaopinga makubaliano ya kibiashara na...

Biashara

RC Mbeya azindua NMB Onja Unogewe Nyanda za Juu, “ni ubunifu wa kipekee”

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amezindua rasmi Kampeni ya Onja Unogewe inayoendeshwa na Benki ya NMB chini ya mwamvuli wa Teleza...

Biashara

STAMICO yang’ara Afrika, yanyakua tuzo kampuni bora madini 2023

Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limenyakua tuzo ya Kampuni bora ya mwaka Afrika kwenye sekta ya madini 2023 katika tuzo za Africa...

Habari Mchanganyiko

DC Mgeni awatolea uvivu viongozi vichomi

Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewaonya viongozi wa serikali za vijiji wenye tabia ya kutengeneza migogoro hasa ya ardhi,...

Biashara

Majaliwa apongeza jitihada za NBC utoaji mikopo zana za kilimo

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi za fedha nchini kuendelea kubuni huduma zinazolenga kutatua changamoto zinazowagusa wakulima huku akionyesha kuguswa zaidi...

Habari za Siasa

Kamati za Bunge mguu sawa Bunge likianza 29 Agosti

Bunge la Tanzania limesema, vikao vya kawaida vya Kamati za Kudumu za Bunge vitaanza kufanyika Jumatatu tarehe 14 hadi 25 Agosti 2023 Jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia: Ofisi msajili vyama vya siasa haina uwezo kusimamia upatikanaji Katiba mpya

JAMES Mbatia, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amesema Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, haiwezi kushughulikia mchakato wa upatikanaji katiba mpya,...

Biashara

Maabara ya SML yaalika wadau kutumia huduma zake

WADAU wa madini nchini wakiwemo watafiti, wachimbaji wadogo wa madini, kampuni za uchimbaji  wa kati na mkubwa wa madini wameshauriwa kutumia maabara ya ...

Biashara

Waagizaji mafuta: Bila dola tutashindwa kuagiza mafuta

KATIKA kuendelea kuhakikisha bidhaa ya mafuta ya petroli inapatikana kwa uhakika maeneo yote nchini, Chama cha Waagizaji na Wasambazaji Mafuta Tanzania (TAOMAC) wamekutana...

Biashara

Mabilioni ya NMB kusapoti BBT, riba asilimia 9 vyamvutia Majaliwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameipongeza Benki ya NMB kwa kutenga mabilioni ya fedha za mikopo katika kipindi cha miaka miwili kuunga...

Habari za Siasa

NEC: Uchaguzi Mbarali Septemba 19

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuwa uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Mbarali na madiwani katika kata sita za Tanzania Bara,...

Kimataifa

Polisi yataja chanzo kifo cha mpishi wa Obama

  POLISI wa Jimbo la Massachusetts, limedai chanzo cha kifo cha Tafari Campbell (45), aliyekuwa mpishi wa Rais mstaafu wa Marekani,Baraka Obama, kilikuwa...

BiasharaTangulizi

Wafanyabiashara waitwa Bandari ya Dar es Salaam

  WAFANYABIASHARA wametakiwa kutumia Bandari ya Dar es Salaam, kusafirisha mizigo yao badala ya kutumia bandari za mbali, ili kuokoa muda na gharama....

Michezo

Mabondia wa Tanzania kunolewa Cuba

  TANZANIA kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Serikali ya Cuba kupitia Taasisi ya INDER ya nchini humo zimekubaliana kushirikiana katika...

Afya

Serikali yajipanga kupunguza gharama usafishaji figo

  SERIKALI imesema itahakikisha gharama za usafishaji figo zinakuwa nafuu ili kuokoa maisha ya watanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu,  … (endelea). Kauli hiyo imebainishwa...

error: Content is protected !!