Baadhi ya wadau wa demokrasia na viongozi wa asasi za kiraia nchini, wamekemea tabia ya Serikali kudhibiti asasi hizo katika chaguzi zinazofanyika nchini....
By Mwandishi WetuMay 16, 2024Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye leo Alhamisi ameliomba Bunge kuidhinisha kiasi cha Sh. 180.9 bilioni kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuMay 16, 2024Seneta wa jimbo la Busia, nchini Kenya, Okiya Okoiti Andrew amesema Tanzania haiwezi kupata Katiba mpya kwa kuwategemea wanasiasa pekee bali kila mwananchi...
By Mwandishi WetuMay 16, 2024WITO umetolewa kwa wananchi kuongeza uelewa na utayari kabla na baada ya majanga huku wakijua namna ya kujikinga nayo ikiwemo mafuriko kwa kupunguza...
By Christina HauleMay 16, 2024CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimegoma kushiriki uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Kwahani, visiwani Zanzibar, ikidai uamuzi huo unatokana na kupuuzwa kwa ushauri wake...
By Regina MkondeMay 16, 2024Mwanasiasa nguli visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali, amesema kuwa kunahitajika mikakati maalumu na vigezo vya kutekeleza na kudhibiti makubaliano ya mwafaka visiwani...
By Mwandishi WetuMay 16, 2024SERIKALI inaendelea na zoezi la kupitia tozo na ushuru wa halmashauri ili kuondoa utitiri wake uliotajwa kuwa mzigo kwa wajasiriamari wadogo hususan wa...
By Regina MkondeMay 16, 2024MBUNGE wa Hai (CCM), mkoani Kilimanjaro, Saashisha Mafuwe, ameibana Serikali bungeni jijini Dodoma, kuhusu ukamilishaji miradi ya maendeleo ambayo ilipangwa kutekelezwa katika bajeti...
By Regina MkondeMay 16, 2024Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kipo tayari kukaa meza moja ya mazungumzo na vyama mbalimbali kwa lengo la kufanya mjadala wa Katiba pamoja...
By Mwandishi WetuMay 16, 2024WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa Taasisi za Serikali kutumia njia mbalimbali bunifu ikiwa ni pamoja na kuanzisha hatifungani ya...
By Danson KaijageMay 15, 2024EMMANUEL Adamson Mwakasaka, Mbunge wa Tabora Mjini (CCM), amelitaka Jeshi la Polisi kumfungulia jalada la kesi ya wizi, uliofanyika nyumba kwake, Kihonda mkoani...
By Mwandishi WetuMay 15, 2024Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Prof. Masoud Hadi Muruke kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa...
By Mwandishi WetuMay 15, 2024MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Jaji Mshibe Ali Bakari ametoa rai kwa wataalamu kutoka nchi za...
By Mwandishi WetuMay 15, 2024Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetambulisha rasmi huduma yake ya kidigitali ya ‘NBC Connect’ Visiwani Zanzibar. Huduma hiyo ya kisasa mahususi kwa...
By Mwandishi WetuMay 14, 2024BENKI ya NMB imezindua akaunti maalum ya kidijitali iitwayo ‘NMB Niwekee,’ inayolenga kuleta ukombozi wa maisha ya baadaye ya watu walio nje ya...
By Mwandishi WetuMay 14, 2024NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa Serikali imeendelea kutoa kipaumbele kwa sekta ya afya na itaendelea kuunga...
By Faki SosiMay 14, 2024Tanzania imeongoza kikao cha wataalamu kutoka mataifa mbalimbali barani Afrika kujadili kuhusu vipaumbele vya sera katika masuala ya nishati safi ya kupikia ili...
By Mwandishi WetuMay 14, 2024Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imesema moduli ya mfumo mpya wa kuwasilisha na kushughulikia malalamiko na rufaa kwa njia ya...
By Mwandishi WetuMay 13, 2024WIZARA ya Afya, imepanga kutumia Sh. 3.50 bilioni, kwa ajili ya kufanya tafiti za masuala sita, ikiwemo changamoto ya afya ya akili na...
By Regina MkondeMay 13, 2024MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, shule Kuu ya Biashara (UDBS), Patrolik Kanje, ameshauri utitiri wa tozo za mamlaka ya...
By Mwandishi WetuMay 13, 2024MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeitaka Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kufanya jitihada za kutafuta njia mbadala...
By Regina MkondeMay 13, 2024MBUNGE wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi (CCM) ameishauri Serikali kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) kutumia simu za mkononi ili...
By Gabriel MushiMay 13, 2024UCHAGUZI wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), umepangwa kufanyika tarehe 29 Juni mwaka huu, ili kumpata mtu atakayeshikilia wadhifa huo...
By Regina MkondeMay 13, 2024MBUNGE wa Geita, Joseph Msukuma (CCM) ameishauri Serikali kutenga bajeti maalumu kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi wa Halmashauri 31 zilizoanzishwa...
By Gabriel MushiMay 13, 2024Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kuunga mkono jitihada za serikali katika...
By Mwandishi WetuMay 13, 2024Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kutoa ushirikiano kwa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiMay 11, 2024Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango amelitaka Jeshi la Polisi nchini kuangalia upya mfumo mzima wa utoaji...
By Mwandishi WetuMay 11, 2024Ili kukabiliana na mageuzi yaliyofanyika katika Sheria mpya ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2023, Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA)...
By Mwandishi WetuMay 10, 2024VIJANA wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera wamemtaka Mwenyekiti wa UVCCM, Mkoa huo Faris Buruhan kuomba radhi au kujiuzulu kwenye nafasi yake...
By Mwandishi WetuMay 10, 2024MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umefanya mazungumzo na Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Pindi Chana, kuhusu masuala matano...
By Regina MkondeMay 10, 2024MBUNGE wa Urambo, Margaret Sitta, ameishauri Serikali iweke utaratibu wanafunzi wapatiwe huduma za afya bure kama inavyotoa huduma za elimu bure kuanzia shule...
By Regina MkondeMay 10, 2024MBUNGE wa Tarime Vijijini (CCM), Mwita Waitara, ameitaka Serikali kutafuta mwarobaini wa visa vya mauaji ya vijana wanaodaiwa kuvamia maeneo ya Mgodi wa...
By Regina MkondeMay 10, 2024Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi amemteua Arafat Ally Haji kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Serikali ya Watu wa Zanzibar (PBZ). Arafat amehudumu...
By Mwandishi WetuMay 10, 2024SAKATA la kanuni mpya za ukokotoaji mafao ya wastaafu (kikokotoo) kupunja pensheni za watumishi, pamoja na ucheleweshaji wa malipo yake, limeendelea kutikisa Bunge,...
By Mwandishi WetuMay 10, 2024KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), inatarajiwa kuketi katika makao makuu ya chama hicho, Mikocheni, jijini Dar es Salaam, kuanzia...
By Mwandishi WetuMay 9, 2024SERIKALI imepunguza kodi ya makampuni kwa asilimia 20, kutoka asilimia 30 hadi 10, kwa kipindi cha miaka mitano ya mwanzo, lengo likiwa ni...
By Regina MkondeMay 9, 2024MRADI wa maji wa Mwanga-Same-Korogwe, ambao Makamu wa Rais, Dk. Phillip Mpango aliahidi kujiuzulu endapo hautakamilika hadi kufikia Juni 2024, sasa umeanza majaribio...
By Mwandishi WetuMay 9, 2024MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala, mkoani Shinyanga, Khamis Katimba, amepongezwa na baraza la madiwani la halmashauri hiyo, kwa kuvuka lengo la...
By Mwandishi WetuMay 9, 2024SERIKALI imetoa tathmini ya athari za kimbunga Hidaya, kilichotokea tarehe 3 Mei 2024, ikisema wananchi wa wilaya kadhaa zilizoko katika Pwani ya Bahari...
By Regina MkondeMay 9, 2024WADAU wa mnyororo wa thamani katika sekta ndogo ya kuku wameonesha kuridhishwa na mafunzo ya ufugaji kuku kisasa yanayotolewa Kituo cha SilverLands Tanzania...
By Gabriel MushiMay 9, 2024Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameainisha mpango wa Serikali wa kusaidia utatuzi wa changamoto zinazowakabili wachimbaji wadogo nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuMay 9, 2024Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Godfrey Mnzava ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwa...
By Mwandishi WetuMay 9, 2024Mdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi kombe la ubingwa wa ligi hiyo kwa...
By Mwandishi WetuMay 8, 2024RAIS Samia Suluhu Hassan amesema matumizi ya nishati safi kwa kupikia ni mahitaji ya lazima sio anasa hivyo utamaduni wa Watanzania kudhani chakula...
By Mwandishi WetuMay 8, 2024Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji na kampuni ya SILABU APP inayotoa huduma za masomo ya ziada...
By Mwandishi WetuMay 7, 2024Kisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi ya wanawake wakati wa ujauzito. Katika kisukari cha mimba mwili wa mama hutengeneza...
By Mwandishi WetuMay 7, 2024NAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo yanayotolewa na Shirika la Amend kwa udhamini wa Ubalozi wa Uswis kwa madereva...
By Mwandishi WetuMay 7, 2024RAIS wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameagiza huduma za dharura zipelekwe kwenye maeneo yaliyopata athari kutokana na kimbunga...
By Mwandishi WetuMay 7, 2024MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu jijini Dar es Salaam, imeamua kwamba, ni haki ya kibinadamu kwa mwananchi kutumia mtandao wa Club House,...
By Mwandishi WetuMay 6, 2024ZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa mafunzo maalum ya usalama na afya kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua...
By Mwandishi WetuMay 6, 2024