Categorizing posts based on content
WAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video ya wimbo wao mpya unaoitwa Bwana Wastahili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Video...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024SERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na gesi asilia baharini ambapo imeanza kutangaza utoaji wa leseni za uchimbaji na vitalu...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024JOKER Ice Frenzy Epic Strike ni sloti iliyopo kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet ina nguzo tano zilizopangwa kwenye mistari mitatu yenye...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024SUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni hatua ya tahadhari kutokana na joto kali linalotarajiwa kudumu kwa wiki...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara, NBC Premiere League jana Jumapili...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2024SERIKALI imetoa Sh 1.8 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya wilaya ya Moshi inayojengwa katika Kata ya Mabogini ukanda wa...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024SERIKALI ya Tanzania na Italia zimeahidi kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ambazo ni kilimo, nishati, elimu pamoja na uchumi wa buluu...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024BENKI ya Exim imeandaa futari ya pamoja kwa wateja wake katika hafla iliyofanyika katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam mnamo...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024SUPER Heli moja ya mchezo bora na pendwa kabisa kwa wachezaji wote wa Meridianbet kasino ya mtandaoni, moja ya miujiza ya mchezo...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet wamefanikiwa kufika eneo la Mwenge na kutoamsaadfa katika Zahanati inayopatika katika eneo hilo Mlalakuwa. Kama ilivyo kawaida...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024SERIKALI imesema imeondoa dawa 178 katika kitita cha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF), ili kupisha dawa bora zaidi zinazoendana na wakati wa...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024AZMA ya kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya, Raila Odinga kuwania wadhifa wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Afrika (AUC) imepata nguvu...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeandaa hafla ya futari mahususi kwa wateja wake wa Kiislamu Visiwani Zanzibar ikiwa ni muendelezo wa jitihada...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024Haujawahi kuwa mwezi wa kinyonge hata kidogo inapofika mwezi Machi. Ni promosheni na bonasi za kasino deilee. Na hatimaye unapocheza michezo ya...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024Watu zaidi ya 50 wanaoshutumiwa kwa ‘uchawi’ wamefariki dunia nchini Angola baada ya kulazimishwa kunywa mchanganyiko wa mitishamba ili kubaini kama wanafanya vitendo...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024Raia nchini Urusi kuanzia leo Ijumaa wanapiga kura katika uchaguzi wa urais utakaofanyika kwa siku tatu na unaotarajiwa kumuongezea muda zaidi, Rais Vladimir...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024KIONGOZI mkuu wa upinzani nchini Senegal, Ousmane Sonko, aliachiliwa kutoka jela jana Alhamisi jioni ikiwa ni siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2024Alhamisi ya leo EUROPA inaendelea ambapo ni mechi za marudiano ambapo hizi zitakuw azikiamua nani kwenda hatua inayofuata na nani kubaki. Liverpool,...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024PROMOSHENI ya Pragmatic Play ya Drop&Win sasa imeanza tangu Machi 6, 2024 na itadumu mpaka 2025 Promosheni hii ni maalum kwa wateja...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa wanawake wanaofanya kazi katika Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML Ladies) wametoa...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024Benki ya NMB imekamilisha zoezi la kuunganisha mfumo wake mkuu wa kibenki na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024LIGI ya Mabingwa ulaya itaendelea usiku wa leo ambapoitakwenda kupigwa michezo miwili ya kibabe sana, Ambapoitaamua hatma ya timu hizo nne kuelekea hatua...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024KAMPUNI Gesi ya Oryx Tanzania imeendeleza kasi yake ya kuwafikishia wananchi nishati safi ya kupikia ili kuwaondoa katika changamoto ya kupika kwa kuni...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024HAPO mwanzo baada ya kuutambulisha mchezo wa Super Heli ambao namba moja pendwa kwa michezo ya kasino ya mtandaoni, wengi walikuwa wanauchukulia...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024LIGI ya Mabingwa Ulaya itaendelea leo ambapo itakwenda kupigwa michezo miwili milkali ambayo itakwenda kutoa fursa ya timu mbili kutinga hatua ya...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024HII sio ndoto hata kidogo ni uhalisia uliopo katika nyumba ya mabingwa Meridianbet, kuna Jackpot endelevu ya michezo ya kasino ya mtandaoni...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024Raia mmoja wa Korea Kusini amekamatwa nchini Urusi kwa madai ya ujasusi na kuzuiliwa katika mji wa mbali wa mashariki mwa nchi wa...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024MAGONJWA yasiyopewa kipaumbele ya Mabusha na Matende, bado yanaendelea kusumbua kata 10 za Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, kutokana...
By Regina MkondeMarch 12, 2024Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Angola, Tete Antonio amesema jana Jumatatu jioni Rais Paul Kagame wa Rwanda amekubali kukutana na...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024MFUKO wa Self umetoa mikopo ya zaidi ya Sh bilioni 324 kwa wananchi 314,055 wa mikoa 30 nchini huku ukijipanga kupanua wigo siku...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024Mkurugenzi wa M-Pesa, Epimack Mbeteni (wa pili kushoto) akizungumza wakati wa mkutano wa 21 wa Taasisi za Fedha ulioandaliwa na Benki Kuu ya...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024ULE mzuka wa kucheza kasino na kushinda unaupata Meridianbet kasino pekee ambapo kuna michezo mingi ya kasino ya Mtandaoni, moja kati ya...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024BENKI ya NMB na Kampuni ya Mwani Zanzibar (ZASCO), zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU), ya ushirikiano, lengo kuu likiwa ni kuliongezea thamani zao...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024Chama kikuu cha upinzani nchini Burundi kimekumbwa na mgawanyiko baada ya jana Jumapili kusema kuwa limemuondoa madarakani kiongozi wa chama hicho Agathon Rwasa...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024SERIKALI ya Thailand imepanga kufufua mpango wa wa biashara ya mwanamke kukubali kushika mimba na kujifungua mtoto kwa niaba ya familia fulani maarufu...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2024Baada ya jana kushuhudia mitanange mikali kabosa Duniani kote, leo tena kuna mechi kali zaidi za kukupatia pesa ligi mbalimbali, yani ni bandika...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2024MOJA ya habari njema kuwahi kutokea ni uwepo wa historia ya kale kuhusiana na miungu, na maisha ya zamani, hadithi hizi zinafurahisha...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2024Kampuni ya Meridianbet imefanikiwa kujumuika nawanawake katika siku yao baada ya kufika katika soka la Mwananyamala jijini Dar-es-salaam na kutoa msaada kwakina Mama...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024HATIMAYE wikendi imefika tena ambapo kwa wale ambao hubashiri hii ni siku nzuri sana kwao kwani mechi mbalimbali kutoka katika ligi mbalimbali...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024SERIKALI ya Tanzania, imeibwaga Kampuni ya Alchemist Energy Trading DMCC, katika Baraza la Kimataifa la Biashara (ICC), baada ya kampuni hiyo ya kiarabu...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024WAKATI ambao sakata la Prince Mpumelelo Dube likipamba moto pale viunga vya Azam Complex, pale Msimbazi mambo sio mambo, Jangwani wao wanakula...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2024IJUMAA ya leo hii ligi mbalimbali zinaendelea hivyo kama mteja wa meridianbet tengeneza jamvi lako sasa na uanze kubashiri vyema kabisa na...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024Watu waliojihami kwa bunduki wamewateka nyara zaidi ya wanafunzi 280 baada ya kuivamia shule moja kaskazini magharibi mwa Nigeria katika mojawapo ya visa...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024KUTANA na nguruwe watatu pamoja na mbwa mwitu ambao asili yao ni kutoa pesa kwa kila mzunguko wa kasino unaoucheza, hakikisha unafatilia...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imesema mojawapo ya siri iliyouwezesha mgodi huo kuongoza nchini kwa kuongeza idadi kubwa ya wanawake walioajiriwa...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024Mkuu wa mkoa wa Songwe Dk. Fransis Michael ameshangazwa na mienendo ya kesi zinazowahusu watu wanaodaiwa kuwapa ujauzito wanafunzi na kukatisha masomo yao,...
By Mwandishi WetuMarch 7, 2024Michuano ya EUROPA Barani Ulaya hatua ya 16 bora inaendelea hii leo ambapo mechi hizo zipo kwaajili ya kukupatia mkwanja wa maana...
By Mwandishi WetuMarch 7, 2024Anza safari kuelekea sayari ya mbali Zaidi nje ya ulimwenguhuu kushuhudia maajabu ya nje ya dunia, safari hii itakupelekampaka sayari ya kujifikirika ya...
By Mwandishi WetuMarch 7, 2024Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet wamefanikiwa kupata mshindi wa kiasi cha shilingi 10,000,000 baada ya kucheza Jackpot yaMeridianbet. Mshindi huyo wa...
By Mwandishi WetuMarch 6, 2024Haya Haya ni takribani wiki imeisha tangu kutambulishwa kwa mchezo mpya wa kasino ya mtandaoni pale Meridianbet, unaitwa Super Heli kwa ripoti...
By Mwandishi WetuMarch 6, 2024