Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Wanafunzi 280 watekwa nyara Nigeria
Kimataifa

Wanafunzi 280 watekwa nyara Nigeria

Spread the love

Watu waliojihami kwa bunduki wamewateka nyara zaidi ya wanafunzi 280 baada ya kuivamia shule moja kaskazini magharibi mwa Nigeria katika mojawapo ya visa vikubwa zaidi vya utekaji nyara kuwahi kushuhudiwa nchini humo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea).

Maafisa wa serikali katika jimbo la Kaduna wamethibitisha utekaji nyara huo katika shule ya Kuriga hapo jana Alhamisi, ila hawakutoa idadi kamili.

Mmoja wa walimu katika shule hiyo iliyoko mkoa wa Chikun, Sani Abdullah amesema walimu walifanikiwa kutoroka na wanafunzi wengi wakati wavamizi hao walipokuwa wakifyatua risasi hewani.

Mkaazi wa eneo hilo, Mohammad Adam ameliambia shirika la habari la Ufaransa – AFP kwamba, zaidi ya watoto 280 ndio waliotekwa nyara baada ya kufanya hesabu kwa umakini zaidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!