Saturday , 27 April 2024
Home mwandishi
8722 Articles1244 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ataka kamati iundwe kupitia upya mkataba wa DP World

MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameishauri Serikali iboreshe mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji Bandari ya Dar es Salaam, ulioingiwa...

Habari za Siasa

Kamati ya siasa Songwe yakagua miradi 7, yatoa maagizo

KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi  (CCM) mkoani Songwe imekagua miradi saba ya maendeleo yenye thamani ya Sh 5.5 bilioni wilayani Songwe...

Habari Mchanganyiko

Same yamkosha kiongozi mbio za Mwenge

  WILAYA ya Same mkoani Kilimanjaro imepongezwa kwa kusimamia fedha na miradi ya maendeleo inayotelezwa wilayani hapo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango awataka watumishi kuacha alama nzuri kwenye jamii

MAKAMU wa Rais Dk.Philip Mpango ametoa wito kwa jamii hususani watumishi wa umma kuendelea kufanya kazi kwa bidii na upendo ili kuacha alama...

Habari Mchanganyiko

Waajiri wasiowasilisha michango ya wanachama NSSF, PSSSF wapewa siku 7

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi ameagiza wakurugenzi wakuu wa mifuko ya pensheni ya PSSSF...

Kimataifa

Tinubu awaachisha kazi maofisa wa jeshi, polisi

RAIS wa Nigeria, Bola Tinubu amefanya mabadiliko makubwa kwa vikosi vya ulinzi jana Jumatatu na kuwasimamisha kazi wakuu wa usalama na mkuu wa...

Biashara

Vodacom yazindua mnara wa mawasiliano Makunduchi, Zanzibar

KATIKA kuunga mkono azma ya serikali ya kupanua na kuimarisha huduma za mawasiliano nchini kote, kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaipukutisha Chadema Kigoma

WALIOKUWA wagombea udiwani wa CHADEMA katika Kata za Rugongwe, Mukabuye na Nyaruyoba kwenye uchaguzi Mkuu 2020 wamejiunga ACT Wazalendo. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)....

Kimataifa

Uchomaji maiti China ni kuzuia kiashiria muhimu cha idadi ya vifo vya Covid-19

  TAIFA la China limepunguza idadi ya uchomaji maiti uliofanyika msimu wa baridi uliopita kutoka kwa ripoti ya robo mwaka. Imeripotiwa na Gazeti...

Biashara

Rostam, Kitila wamshukia vikali Mbowe kwa kauli za ubaguzi

  MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Azizi, na mbunge wa Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo, wamemshukia vikali Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kwa kutoa...

BiasharaTangulizi

Lema, Zitto waishauri Serikali mkataba DP World “hatupingi uwekezaji bandari”

SERIKALI ya Tanzania, imeshauriwa kurekebisha baadhi ya vifungu vinavyolalamikiwa na wananchi katika mkataba wa ushirikiano wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam, kati...

BiasharaTangulizi

Rostam, Kitila wamvaa Mbowe kwa kauli za ubaguzi

MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Azizi, na Mbunge wa Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo (CCM), wamemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, aombe radhi kutokana...

BiasharaTangulizi

Dk. Kitila aanika maeneo yatakayoendeshwa na DP World, Wassira achafukwa na ubaguzi

WAKATI mjadala wa mkataba wa ushirikiano kuhusu uendeshaji bandari, kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai Port World (DP World), ukishika...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aibana TPDC, TANESCO

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, amelitaka amelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), liache kuwa wauzaji wa mafuta yanayotoka nje...

Habari Mchanganyiko

 SBL yakabidhiwa tuzo na Waziri Mkuu kwa uwekezaji kwenye miradi ya maji safi

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameikabidhi Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), tuzo ya kutambuliwa mchango wao...

AfyaTangulizi

Wananchi Ludewa waiangukia serikali zahanati iliyotelekezwa miaka 7, Filikunjombe atajwa

WANANCHI wa kijiji cha Nsele kata ya Kilondo tarafa ya Mwambao halmashauri ya wilaya ya Ludewa mkoani Njombe, wameiomba serikali kumalizia ujenzi wa...

Biashara

NMB yatoa gawio la bilioni 45.5, Rais Samia apongeza

BENKI ya NMB imetoa gawio la Sh.  45.5 bilioni ikiwa ni gawio kubwa zaidi kuwahi kutolewa na taasisi ya kifedha kwa Serikali. Serikali inamiliki...

ElimuMichezo

Ubongo Kids sasa waja na Nuzo na Namia

UBONGO Kids waliotamba na katuni za watoto za Ubongo Kids na Akili na Me, sasa wamekuja na hadithi mpya za watoto wa Afrika...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yamtaka CAG akague fedha za tozo, UVIKO-19

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi dhidi ya fedha za tozo za miamala ya...

Habari Mchanganyiko

Tunduma yang’ara kwa kupata hati safi

MKAGUZI mkuu wa hesabu za nje katika mkoa wa Songwe, Chausiku Marco ameipongeza  halmashauri ya mji Tunduma kwa kuwa na hoja chache kuliko...

Habari Mchanganyiko

Shida ya maji Same, Mwanga kuisha

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu, amesema Mradi wa Maji unaotekelezwa katika ya Same na Mwanga utamaliza tatizo la uhaba wa maji...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Bajeti kuu haina vipaumbele vya kuboresha maisha ya Watanzania

CHAMA Cha ACT-Wazalendo, kimekosoa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2023/24 na kudai kuwa haijaweka vipaumbele vinavyolenga kuboresha maisha ya wananchi...

Habari Mchanganyiko

Wazazi waonywa kuwalinda wanaokatili watoto

WAZAZI na walezi wametakiwa kuacha tabia ya kuwalinda watu wanaofanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto, kwa kupokea rushwa ili kuwanusuru na...

Habari Mchanganyiko

Mifugo 319 iliyoibiwa yakamatwa pamoja na watuhumiwa

  JESHI la Polisi kupitia kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo Nchini limesema kuwa katika kipindi cha mwezi juni mwaka huu...

Habari Mchanganyiko

Siku ya Mtoto wa Afrika; Wazazi, walezi watakiwa kuwaongoza watoto na matumizi ya kidijitali

KATIKA kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika wazazi na walezi wametakiwa kuwaongoza vyema watoto wao juu ya matumizi salama ya kidigitali kwa kuwa...

HabariKitaifaTangulizi

Ni Bajeti ya kulipa madeni, mzigo wa kodi

WAZIRI wa fedha, Mwigulu Nchemba, amewasilisha bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024, huku sehemu kubwa ya fedha iliyotengwa ikielekezwa kwenye ulipaji...

Afya

 NMB yaunga mkono uchangiaji damu salama Morogoro, Dodoma

BENKI ya NMB imeadhimisha wiki ya uchangiaji damu salama kwa hiari baada ya kuwakusanya watumishi wa benki hiyo pamoja na wananchi katika mikoa...

Biashara

Benki ya NBC yazindua akaunti maalum kwa ajili ya walimu

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) leo Alhamis imezindua akaunti mpya inayojulikana kama “Akaunti ya Mwalimu,” inayolenga kutoa suluhisho la huduma za kifedha...

Habari za Siasa

Kata nne Musoma Vijijini mbioni kupata maji

WANAVIJIJI kutoka kata nne za Wilaya ya Musoma Vijijini, mkoani Mara, wako mbioni kuondokana na adha ya huduma ya maji safi na salama...

Habari za Siasa

Tanzania yawakaribisha wawekezaji kutoka Urusi

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Serikali ya Urusi kuwekeza nchini kwa maslahi ya pande zote mbili...

Habari Mchanganyiko

Wella asisitiza ushirikiano Same

KATIBU Tawala wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Upendo Wella amewaomba viongozi, watumishi wa umma, binafsi na wananchi wilayani humo  kuendeleza ushirikiano na ...

Habari za Siasa

Balozi Mbarouk asaini kitabu cha maombolezo ubalozi Italia

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Italia...

Habari Mchanganyiko

Bunge lapitisha marekebisho sheria ya huduma za habari, vifungu tisa kati ya 21 vyaguswa

BUNGE  limepitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya mwaka 2016 ambao umekuwa ukilalamikiwa na wadau mbalimbali wakitaka vifungu 21...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awajibu wanaompinga, Nchi haiuziki

  RAIS wa Jamhuri, Samia Suluhu Hassan, ameeleza kuwa nchi haijauzwa na wala haiziki, na kwamba Tanzania ni moja. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Afya

NMB yatumia Sh10 milioni kusaidia vifaa vya wajawazito Korogwe

BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya kujifungulia kwa kina mama wajawazito zaidi ya 500 katika kituo cha afya cha Mombo kilichopo...

Biashara

NMB yasherehekea safari ya mafanikio miaka 25 Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imeipongeza Benki ya NMB kwa safari yake ya mafanikio yaliyotukuka ya miaka 25! Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yamesemwa...

Kimataifa

Kiwango cha chini cha uhuru habari China chaongeza mashaka

  RIPOTI ya waandishi wa Habari wasiokuwa na mipaka duniani wanaosimamia tovuti ya ‘Just Earth News’ iliyotolewa mwezi Mei mwaka huu inaiweka China...

Biashara

SBL kuongeza kiwango cha malighafi kutoka kwa wakulima wadogo hadi 85%

   KAMPUNI ya Bia ya Serengeti, mmoja wa wazalishaji wakubwa wa bia nchini, amefichua kuwa analenga kuongeza vyanzo vyake vya malighafi kutoka kwa...

Michezo

Bonanza la NMB vuta nikuvute lafana Zanzibar

BENKI ya NMB ikiwa inaendeea kusherehekea safari yake ya mafanikio ya miaka 25, iliandaa bonanza la Michezo waliloliita Vuta Nikuvute visiwani Zanzibar. Kikosi...

Biashara

Slaa aunga mkono uwekezaji, ashauri kurekebisha dosari mkataba wa DP World

  BALOZI Willibrod Slaa ameunga mkono uwekezaji kwenye Bandari ya Dar es Salaam, lakini ameishauri Serikali kurekebisha kasoro zinazolalamikiwa kwenye mkataba wa uwekezaji...

Biashara

  Wachimbaji dhahabu Kahama waunda ushirika, wapewa ujumbe mzito

WACHIMBAJI wa madini ya dhahabu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwa mstari wa mbele kwa kushirikiana na Serikali katika kutatua changamoto mbalimbali ambazo...

Habari Mchanganyiko

Wataka kibano kwa wanaoajiri watoto

MTANDAO wa kupinga utumikishwaji watoto Tanzania, umeiomba Serikali iweke mikakati itakayosaidia kutokomeza ajira za watoto ili kulinda ustawi wao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Shinyanga yajipanga utekelezaji kampeni msaada kisheria ya Mama Samia

MKOA wa Shinyanga umeahidi kushirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria pamoja na Shirika la Legal Services Facility (LSF), katika utekelezaji wa kampeni...

HabariKimataifaTangulizi

Ajali ya ndege Colombia: Mama aliwaambia watoto wamuache na waende kutafuta usaidizi

WANAJESHI wa Colombia wanahudumia watoto hao wanne muda mfupi baada ya kupatikana, Wanajeshi wa Colombia wanahudumia watoto hao wanne muda mfupi baada ya...

Biashara

Wafanyabiashara, wasindikaji 600 wapigwa msasa kuhusu sumukuvu

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa mafunzo ya udhibiti wa sumukuvu kwenye mahindi, karanga na bidhaa zake katika wilaya za Kiteto, Kongwa,...

Michezo

Timu ya walemavu wa akili yapaa Ujerumani kushiriki Kombe la Dunia

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye michezo ya Dunia kwa watu wenye ulemavu wa akili wameondoka kuelekea Ujerumani kushiriki michezo hiyo itakayoanza Juni 17 hadi...

Biashara

Infinix Note 30 yafanya kufuru sokoni, yauzika kwa wingi

KAMPUNI ya simu za mkononi Infinix mwanzoni mwa Mwezihuu ilizindua toleo la Infinix NOTE 30 Series nakusindikizwa na promosheni kubwa ya #Gusanishaijaekuvunja Record...

Biashara

DC Ileje aipongeza STAMICO kwa huduma za kijamii

MKUU wa wilaya Ileje mkoani Songwe, Farida Mgomi amelipongeza Shirika la Madini Taifa (STAMICO) kupitia mgodi wa Kiwira-Kabulo kwa kusaidia wananchi wanaozunguka mgodi...

Biashara

Zanzibar yazungumzia miaka 25 ya mafanikio ya NMB

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa mafanikio yaliyotukuka katika kipindi cha miaka 25 ya kuhudumia Watanzania. Anaripoti Mwandishi...

error: Content is protected !!