Friday , 26 April 2024

Month: April 2019

Habari za SiasaMpya

Spika Ndugai amng’ang’ania Lema

GODBLESS Lema, Mbunge wa Arusha Mjini leo mchana tarehe 3 Aprili 2019 atakutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maadili saa 8...

Habari MchanganyikoMpya

Dott Service yaingia ‘anga’ za JPM

RAIS John Magufuli ameicharukia kampuni ya ukandarasi ya Dott Service, kwa kuchelewa kumaliza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Mtwara –...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

CAG ajibu, atahadharisha Bunge

SIKU moja baada ya Bunge la Jamhuri kuazimia kutofanya kazi na Profesa Mussa Assad, Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Michezo

TP Mazembe kutua kesho, kuivaa Simba

KLABU ya soka kutoka nchini DR Congo TP Mazembe inatarajia kuwasili nchini kesho kwa ajili ya mchezo wa Robo Fainali ya Ligi ya...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema ahoji uharaka wa serikali kubinafsisha viwanda

MBUNGE wa Viti Maalum, Devotha Minja (Chadema) amehoji serikali sababu za kushindwa kufanya maandalizi mazuri katika ubinafsishaji wa viwanda? Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za Siasa

Wananchi wafungiwe dira mpya za maji – Serikali

SERIKALI imeagiza wananchi kuendelea kufungiwa dira mpya za maji – Lipa Kadiri Utumiavyo – ili kupunguza malalamiko yao. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za Siasa

Rais Magufuli aeleza kilichokwaza malipo zao la korosho

KUWEPO kwa majina hewa takribani 780, kumetajwa kuwa miongoni mwa sababu za serikali kuchelewa kulipa wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

JPM arejesha matumaini wakulima wa korosho

RAIS John Magufuli amerejesha matumaini kwa wakulima wa zao la kibiashara la korosho ambao bado hawajalipwa fedha zao mpaka sasa. Anaripoti Regina Mkonde …...

Habari za SiasaTangulizi

Lema achafua Bunge, wapinzani watoka nje 

BAADHI ya wabunge wa upinzani, wametoka nje ya Bunge, kupinga hatua ya Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, kumshitaki kwenye Kamati ya...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge la Ndugai laamua kumtenga Prof. Assad

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limeazimia kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad,...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Haya ndio mavuno ya ACT-Wazalendo kwa Maalim Seif  

HATUA ya Maalim Seif Shariff Hamad, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) kuhamia Chama cha ACT-Wazalendo, imepaisha chama hicho. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Bunge la 15 kuanza kesho, miswada miwili kupitishwa

MKUTANO wa kumi na tano wa bunge unaoanza kesho unatarajia kujadili na kupitisha miswada miwili ya sheria ambayo itasomwa kwa hatua zake zote....

Michezo

TFF yatoa kauli uchaguzi mkuu Yanga

KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), chini ya Mwenyekiti wake Wakili Ali Mchungahela imetangaza tarehe 5, Mei 2019...

Habari za Siasa

Tamisemi yawaangukua wadau vyama vya siasa 

WAKATI uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, ukitarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi)...

Habari za Siasa

AZAKI zapeleka fikra mpya Ofisi ya Msajili

ASASI za Kiraia (AZAKI) nchini zimemshauri Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuunda Kamati Huru itakayoshughulikia tuhuma zinazokikabili Chama cha ACT-Wazalendo,...

Habari Mchanganyiko

TFS watimua wafugaji ndani ya hifadhi Ikowa

MENEJA wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Kanda ya Kati, Mathew Kiondo ametoa siku mbili kwa wafugaji wanaolisha mifugo yao katika Msitu wa...

Kimataifa

‘Wahuni’ Afrika Kusini waanza kuua wageni

WATU watatu wameuawa huku 50 wakitafuta hifadhi kwenye vituo vya polisi katika mashambulizi yaliyofanywa na baadhi ya raia wa Afrika Kusini, wanaopinga uwepo...

Habari za Siasa

Maalim Seif: Inaniuma kuhama CUF

JEMEDARI wa siasa za upinzani visiwani Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad ameeleza, hatua yake ya kuondoka katika Chama cha Wananchi (CUF) imeacha majonzi...

Habari za SiasaTangulizi

Kambi Rasmi ya upinzani Bungeni, njiapanda

KAMBI Rasmi ya upinzani bungeni, iko hatarini “kusambaratika” kufuatia “mapinduzi” ya kisiasa, yaliyotokea ndani ya Chama cha Wananchi (CUF). Anaripoti Danson Kaijage kutoka...

Habari za Siasa

Ninaandamwa na dola – Maalim Seif

NINAANDAMWA na dola. Ndiyo kauli ya Maalim Seif Shariff Hamad, Makamu wa Rais wa Kwanza katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ). Anaripoti Regina Mkonde...

error: Content is protected !!