Thursday , 9 May 2024
Home 2017

Year: 2017

Makala & Uchambuzi

Kubenea ajitosa ubunge Unguja

MBUNGE wa jimbo la Ubungo, Saed Kubenea, leo Jumapili, ataungana na viongozi waandamizi wa upinzani nchini, Edward Lowassa na Maalim Seif Sharif Hamad,...

Makala & UchambuziTangulizi

Z’bar ‘mikononi’ mwa Lowassa, Maalim Seif

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ukiongozwa na Maalim Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa CUF na Edward Lowassa, Mjumbe wa Kamati Kuu...

Michezo

Ander Herrera kutembelea Tanzania

KIUNGO wa Manchester United na  Hispania, Ander Herrera anatarajiwa kutembelea nchi mbili zilizopo kwenye Ukanda wa Afrika ya Mashariki ikiwemo Tanzania bila kuweka...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yamsulubu Mbowe

SERIKALI ya Rais John Magufuli imemmaliza Freeman Mbowe katika biashara yake ya klabu (Billicanas), anaandika Faki Sosi. Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama...

Makala & UchambuziTangulizi

CUF mambo magumu

HALI ya fedha ni ngumu ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) jambo ambalo linaloongeza changamoto katika kampeni za chama hicho kwenye Jimbo la...

Kimataifa

Odinga ‘achekelea’ demokrasia ya Ghana

RAILA Odinga Kiongozi wa Muungano wa Upinzani wa CORD na miongoni mwa watu mashuhuri kutoka Afrika Mashariki watakaohudhuria kuapishwa kwa Nana Akufo Addo...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyetumwa kumtukana Nchimbi ajisalimisha

IKIWA ni zaidi ya miezi minne tangu James Rock Mwakibinga, kada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Umoja wa Vijana wa chama hicho...

Michezo

Mahrez mchezaji bora Afrika

KIUNGO mshambuliaji wa Klabu ya Leicester City inayoshiriki Ligi Kuu England na Timu ya Taifa ya Algeria, Lihard Mahrez amefanikiwa kutwaa tuzo ya...

Habari za SiasaTangulizi

Msaidizi wa Mbowe kuibuka

UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa masuala ya siasa wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe sasa unazidi kuongezeka. Wanaandika Waandishi Wetu...

Habari za SiasaTangulizi

JPM amtumbua ‘bosi’ wa Tanesco

MHANDISI Felchesmi Mramba aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme la Taifa (TANESCO) amekuwa mtumishi wa kwanza wa serikali kutimuliwa kazi na Rais...

error: Content is protected !!