Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Kubenea ajitosa ubunge Unguja
Makala & Uchambuzi

Kubenea ajitosa ubunge Unguja

Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo, akizungumza na wapiga kura wake
Spread the love

MBUNGE wa jimbo la Ubungo, Saed Kubenea, leo Jumapili, ataungana na viongozi

waandamizi wa upinzani nchini, Edward Lowassa na Maalim Seif Sharif Hamad, kumpigia kampeni mgombea ubunge jimbo la Dimani, Unguja, anaandika Mwandishi Wetu.

Akizungumza na MwanaHALISI Online, Kubenea alisema, “ninakwenda Unguja kutafuta mbunge. Nakwenda kuongeza nguvu. Nakwenda Unguja, kushinda.”

Kubenea, mmoja wa wabunge machachari wa upinzani nchini anasema, ameamua kwenda Unguja ili kusaidia harakati za ukombozi kwa kuhakikisha Chama cha Wananchi (CUF), kinashinda katika uchaguzi huo.

Uchaguzi mdogo wa Dimani Unguja, unafanyika kufuatia aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Hafidhi Aly Twahir, kufariki dunia mwishoni mwa mwaka jana mjini Dodoma. Habari zaidi juu ya mkutano wa kampeni katika jimbo la Dimani, usikose kusoma MwanaHALISI Online – Mhariri.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Miaka 28 watumishi UDSM yaliwa na nzige, madumadu

Spread the loveGEORGE Francis anasikitika; anatembea akiwa na mawazo mengi, hajui la...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nimekumbuka Samia wa miaka 3 iliyopita

Spread the loveWAKATI naandaa makala ya safu hii wiki hii, nimejikuta nakumbuka...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Hakuna fedha za Rais

Spread the loveKUNA mambo machache mazuri ya kujifunza kutoka kwa Margaret Thatcher,...

error: Content is protected !!