Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Tangulizi Chadema watishia ‘Nyau’ kuhusu Ukuta
Tangulizi

Chadema watishia ‘Nyau’ kuhusu Ukuta

Vicent Mashinji, Katibu Mkuu wa Chadema
Spread the love

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetonesha kidonda kilichopona baada ya kusisitiza kwamba bado kina dhamira ya kufanya maandamano kwa nchi nzima waliyoyapa jina la Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania (UKUTA), anaandika Victoria Chance.

Akijibu maswali ya waandishi wa habari Katibu Mkuu wa Chadema, Vicent Mashinji amesema, suala la Ukuta ni endelevu na siyo kufanya mikutano na mandamano pekee.

Amesema wananchi wengi wanapenda tudai katiba yetu kwa nguvu, lakini sisi kama chama tuna njia ambazo tumeziandaa.

Njia ya kwanza wanahoja binafsi ambayo italezea maboresho ya tume ya uchaguzi ambayo itawasilishwa bungeni.

“Pia tunatumia njia za kidiplomasia na kidemokrasia kuhakikisha kwamba suala hili linafika mwisho wake na endapo njia hizi hazitafikia lengo tutawaomba wananchi wachukue uongozi katika suala hilo,’’ amesema

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

error: Content is protected !!