Tuesday , 30 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mfalme wa Japan ang’atuka mwenyewe
Kimataifa

Mfalme wa Japan ang’atuka mwenyewe

Mfalme wa Japan, Akihito
Spread the love

MFALME wa Japan, Akihito (85) ameng’atuka katika wadhifa huo baada ya kutawala kwa miongo mitatu, kutokana na kusumbuliwa na maradhi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Mfalme Akihito ameachia ngazi jana tarehe 30 Aprili 2019 na nafasi yake kuchukuliwa na mtoto wake, Naruhito.

Mfalme mpya, Naruhito anayetarajiwa kukasimishwa mamlaka ya ufalme leo Jumatano tarehe 1 Mei 2019, anaanza majukumu yake rasmi kwa mujibu wa katiba na sheria za Japan.  

Mfalme Naruhito wakati akiapa, aliahidi kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa katiba na sheria za taifa hilo.

Mfalme aliyemaliza muda wake, Akihito alishukuru wananchi wa Japan  na kuwahimiza kuendelea kuienzi amani.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!