Tuesday , 30 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais wa Korea atupwa jela miaka 15
Kimataifa

Rais wa Korea atupwa jela miaka 15

Spread the love

ALIYEKUWA Rais wa Korea Kusini, Lee Myung-bak amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela baada ya kupatikana na hatia ya makosa ya rushwa. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama nchini Korea Kusini ambapo pia ilimuamuru Myung-bak kulipa faini ya dola za Kimarekani 11.5 milioni.

Myung-bak alikutwa na hatia baada ya ushahidi kuthibitisha kutenda makosa hayo alipokuwa madarakani kuanzia mwaka 2008 hadi 2013.

Mwansiasa huyo wakati wa uongozi wake alipokea dola milioni 10 kutoka kwa kampuni ya Samsung kinyume na sheria.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!