Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Trump atoa masharti mapya Sudan, Somalia
Kimataifa

Trump atoa masharti mapya Sudan, Somalia

Spread the love

UTAWALA  wa Rais Donald Trump wa Marekani umeweka masharti mapya ya maombi ya kibali ‘Visa’ kutoka kwa mataifa sita ya Kiislamu pamoja na wakimbizi wote.

Masharti hayo ambayo yanawataka kuwa na mtu wanaohusiana ama ushirikiano wa kibiashara na Marekani inayoyahusisha mataifa yaliyo na Waislamu kama vile Iran, Libya, Somalia, Sudan , Syria na Yemen imeangaziwa katika ujumbe uliotumwa katika balozi zote.

Masharti hayo mapya yaliyoanza kufanya kazi siku ya leo yanaelezea mahusiano ya kifamilia kama mzazi, mkeo ama mumeo, mtoto wa kiume ama wa kike.

Masharti hayo ni baada ya Mahakama Kuu nchini Marekani kuidhinisha kwa muda agizo la Rais Trump ambalo lilikosolewa kuwa marufuku kwa Waislamu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

error: Content is protected !!