Monday , 6 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mabilioni ya dola yaahidiwa Pakistan
Kimataifa

Mabilioni ya dola yaahidiwa Pakistan

Dola za Marekani
Spread the love

 

MKUU wa misaada ya kimataifa, Martin Griffiths ameahidi kutoa dola bilioni 1.2 kuwasaidia mzozo unaoendelea nchini Pakistani. Anaripoti Helena Mkonyi TUDARCo … (endelea).

Griffiths amesema, mabilioni hayo ya fedha yameahidiwa kutolewa kwa ajili ya kuwasaidia watu wa Pakistani kutatua mizozo mbalimbali na matatizo yanayowakumba.

Ameyasema hayo katika mkutano mkuu wa ngazi ya juu mjini Geneva.

Martin ametoa wito kwa wafadhili wote waliopo katika shirika la misaada la kimataifa kutekeleza ahadi zao haraka iwezekanavyo ili kutatua matatizo ya Waafganistani ikiwemo wanawake ambao ndio wanaongozwa kwa kunyonywa na kuonewa nchini humo.

“Jukumu la wanawake na wasichana ni muhimu mno kama sehemu yoyote ile, wanastahili kupata elimu, wanastahili kupata haki zao muhimu kama watu wengine na huduma zingine muhimu kama ilivyo kwingineko duniani,” alisema Griffiths.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!