Sunday , 5 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Israel yaanza mashambulizi Gaza
Kimataifa

Israel yaanza mashambulizi Gaza

Spread the love

 

JESHI la Israel limefanya mashambulizi ya kijeshi baada ya kudai, Palestina kushambuliwa nchi hiyo kwa maguruneti. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea).

Jeshi hilo limeeleza, limelenga kundi la waasi la Hamas ambao ni chama tawala cha siasa cha Palestina, na kwamba mashambulizi hayo yamelenga kambi mbili za ‘waasi’ hao.

Israel imeeleza, mashambulizi ya Palestina katika ardhi ya Israel, hayajasababisha madhara yoyote.

Hamas imeeleza, pamoja na mashambulizi ya Israel kuendelea, eneo la Gaza litaendelea kupiginiwa na Wapalestina mpaka mwisho wa uhai wao, akisistiza nchi hiyo haijafanya mashambulizi Israel.

Israel imeweka vikwazo mbalimbali vya kuingia Palestina kupitia barabara, baharini pamoja na viwanja vya ndege. Mgogoro wa ardhi kati ya Israel na Palestina ulianza mwaka 1967.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!