Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Israel yaanza mashambulizi Gaza
Kimataifa

Israel yaanza mashambulizi Gaza

Spread the love

 

JESHI la Israel limefanya mashambulizi ya kijeshi baada ya kudai, Palestina kushambuliwa nchi hiyo kwa maguruneti. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea).

Jeshi hilo limeeleza, limelenga kundi la waasi la Hamas ambao ni chama tawala cha siasa cha Palestina, na kwamba mashambulizi hayo yamelenga kambi mbili za ‘waasi’ hao.

Israel imeeleza, mashambulizi ya Palestina katika ardhi ya Israel, hayajasababisha madhara yoyote.

Hamas imeeleza, pamoja na mashambulizi ya Israel kuendelea, eneo la Gaza litaendelea kupiginiwa na Wapalestina mpaka mwisho wa uhai wao, akisistiza nchi hiyo haijafanya mashambulizi Israel.

Israel imeweka vikwazo mbalimbali vya kuingia Palestina kupitia barabara, baharini pamoja na viwanja vya ndege. Mgogoro wa ardhi kati ya Israel na Palestina ulianza mwaka 1967.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!