Monday , 6 May 2024
Kimataifa

Raila aambukizwa corona

Raila Odinga akiwa hospitali akipatiwa vipimo
Spread the love

 

KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Kenya cha ODM, Raila Odinga amepimwa na kukutwa na maambukvirusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Raila ambaye ni waziri mkuu mstaafu, alifanyiwa vipimo kadhaa Jumanne ya hiki hii katika Hospitali ya Nairobi, baada ya kulalamika, kutojisikia vizuri.

Jana Alhamisi tarehe 10 Machi 2021, Dk. David Oluoch-Olunya, daktari wa Raila (76), alitoa taarifa kwa umma kuhusu majibu ya vipimo akisema, Raila ameyapokea vyema majibu na anaendelea na matibabu katika hospitaloi hiyo.

Raila amekuwa kiongozi wa kwanza ngazi ya juu wa Kenya, kupimwa na kukutwa na maambukizi hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!