Monday , 6 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mahabusu wabebwa kwa bodaboda
Habari Mchanganyiko

Mahabusu wabebwa kwa bodaboda

Spread the love

UKOSEFU wa usafiri katika Gereza la Ulanga, Morogoro, imesababisha mahabusu kusafirishwa kwa bodaboda kupelekwa mahakamani. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea).

Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 28 Januari 2020, na Goodluck Mlinga, Mbunge wa Ulanga (CCM) wakati akiihoji serikali kwamba ina mkakati gani kuepuka utaratibu huo?

Mbunge huyo pia amehoji, ni lini serikali itapeleka gari katika gereza hilo ili kueuka usumbufu huo?

Akijibu swali hilo, Hamad Masauni, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani amesema, changamoto hiyo itatatuliwa kadri itakavyowezekana.

Hata hivyo, Job Ndugai, Spika wa Bunge ameonesha kushangazwa na hatua hiyo, huku akisema “hii nayo mpya…”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

Habari Mchanganyiko

Tanzania  yasisitiza kuwa Kituo Kikuu cha Uchimbaji Madini Afrika

Spread the loveTanzania imeendelea kusisitiza adhma yake ya kuwa kituo kikuu cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Usafiri baharini wasitishwa kukwepa athari za kimbunga Hidaya

Spread the loveUSAFIRI wa baharini umesimamishwa kwa muda ili kukwepa athari za...

error: Content is protected !!