Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mahabusu wabebwa kwa bodaboda
Habari Mchanganyiko

Mahabusu wabebwa kwa bodaboda

Spread the love

UKOSEFU wa usafiri katika Gereza la Ulanga, Morogoro, imesababisha mahabusu kusafirishwa kwa bodaboda kupelekwa mahakamani. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea).

Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 28 Januari 2020, na Goodluck Mlinga, Mbunge wa Ulanga (CCM) wakati akiihoji serikali kwamba ina mkakati gani kuepuka utaratibu huo?

Mbunge huyo pia amehoji, ni lini serikali itapeleka gari katika gereza hilo ili kueuka usumbufu huo?

Akijibu swali hilo, Hamad Masauni, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani amesema, changamoto hiyo itatatuliwa kadri itakavyowezekana.

Hata hivyo, Job Ndugai, Spika wa Bunge ameonesha kushangazwa na hatua hiyo, huku akisema “hii nayo mpya…”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!