Sunday , 3 December 2023
Home Habari Mchanganyiko Mahabusu wabebwa kwa bodaboda
Habari Mchanganyiko

Mahabusu wabebwa kwa bodaboda

Spread the love

UKOSEFU wa usafiri katika Gereza la Ulanga, Morogoro, imesababisha mahabusu kusafirishwa kwa bodaboda kupelekwa mahakamani. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea).

Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 28 Januari 2020, na Goodluck Mlinga, Mbunge wa Ulanga (CCM) wakati akiihoji serikali kwamba ina mkakati gani kuepuka utaratibu huo?

Mbunge huyo pia amehoji, ni lini serikali itapeleka gari katika gereza hilo ili kueuka usumbufu huo?

Akijibu swali hilo, Hamad Masauni, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani amesema, changamoto hiyo itatatuliwa kadri itakavyowezekana.

Hata hivyo, Job Ndugai, Spika wa Bunge ameonesha kushangazwa na hatua hiyo, huku akisema “hii nayo mpya…”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

20 wafariki dunia kwa mafuriko Manyara

Spread the loveMVUA za vuli zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeleta madhara...

ElimuHabari Mchanganyiko

CEO NMB awataka vijana kunoa ujuzi wao

Spread the loveAfisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri...

Habari Mchanganyiko

TARURA kujenga madaraja 189 kwa teknolojia ya mawe

Spread the loveWakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imejipanga kujenga...

AfyaHabari Mchanganyiko

Majaliwa aipongeza GGML mapambano dhidi ya Ukimwi

Spread the loveWaziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining...

error: Content is protected !!