Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Michezo Yanga yaitisha mkutano wa dharura kubadili Katiba
Michezo

Yanga yaitisha mkutano wa dharura kubadili Katiba

Jengo la Yanga
Spread the love

MWENYEKITI wa Yanga. Dk. Mshindo Msola ameitisha mkutano mkuu wa dharura kwa wanachama wa klabu hiyo unaotarajia kufanyika tarehe 16 Februari, 2020, katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwl. Nyerere. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Mkutano huo ambao utakuwa na agenda kuu sita zikiwamo kuwasilisha na kuainisha mapendekezo ya katiba ya sasa na mapendekezo mapya na wanachama kupigia kura marekebisho ya katiba.

Taarifa kutoka ndani ya klabu hiyo imeeleza kuwa Mwenyekiti ameitisha mkutano huo wa dharura kwa mujibu wa ibara ya 22 ya katika ya Yanga 2010.

Mabadiliko hayo ya katiba huenda yakaifanya klabu hiyo kutaka kuingia kwenye mfumo wa mabadiliko ya uendeshaji kwa kutumia mgumo wa hisa kama alivyo nukuliwa mwenyekiti wa klabu hiyo siku za nyuma kusema kuwa mpaka kufikia mwezi wa tano klabu hiyo itaingia katika mchakato wa mfumo wa mabadiliko.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!