Tuesday , 5 December 2023
Home Kitengo Michezo Yanga yaitisha mkutano wa dharura kubadili Katiba
Michezo

Yanga yaitisha mkutano wa dharura kubadili Katiba

Jengo la Yanga
Spread the love

MWENYEKITI wa Yanga. Dk. Mshindo Msola ameitisha mkutano mkuu wa dharura kwa wanachama wa klabu hiyo unaotarajia kufanyika tarehe 16 Februari, 2020, katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwl. Nyerere. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Mkutano huo ambao utakuwa na agenda kuu sita zikiwamo kuwasilisha na kuainisha mapendekezo ya katiba ya sasa na mapendekezo mapya na wanachama kupigia kura marekebisho ya katiba.

Taarifa kutoka ndani ya klabu hiyo imeeleza kuwa Mwenyekiti ameitisha mkutano huo wa dharura kwa mujibu wa ibara ya 22 ya katika ya Yanga 2010.

Mabadiliko hayo ya katiba huenda yakaifanya klabu hiyo kutaka kuingia kwenye mfumo wa mabadiliko ya uendeshaji kwa kutumia mgumo wa hisa kama alivyo nukuliwa mwenyekiti wa klabu hiyo siku za nyuma kusema kuwa mpaka kufikia mwezi wa tano klabu hiyo itaingia katika mchakato wa mfumo wa mabadiliko.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaMichezo

Mwana FA anogesha Tamasha la Exim Bima Festival

Spread the loveNAIBU Waziri Wa Utamaduni, Sanaa Na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana...

Michezo

Manchester City dhidi ya Tottenham ni usiku wa kisasi

Spread the love KIPUTE kati ya klabu ya Manchester City dhidi yaTottenham Hotspurs...

Michezo

Wikiendi ya kutamba na Meridianbet hii hapa usikubali kuikosa

Spread the loveMERIDIANBET wanakwenda kukupa nafasi ya kutambawikiendi hii kupitia ODDS KUBWA walizoweka...

Michezo

Fernandes hakamatiki Man Utd, mahesabu ni kuifunga Bayern

Spread the love  NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes, alikuwa na kiwango...

error: Content is protected !!