Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Prof. Ndalichako: Mwalimu kumuua mwanafunzi ni bahati mbaya
Elimu

Prof. Ndalichako: Mwalimu kumuua mwanafunzi ni bahati mbaya

Spread the love

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amesema kuwa kitendo cha Mwalimu kumpiga mwanafunzi hadi kufa ni cha bahati mbaya. Anaripoti Khalifa Abdallah … (endelea).

Ndalichako amesema Serikali haijamtuma Mwalimu huyo kufanya tukio hilo hivyo watu wasichukulie tukio hilo kudhani kuwa shule ni sehemu ambayo si salama.

Amesema ikiwa siku moja baada ya kifo cha Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Kibeta mkoani Kagera kutokea huku ikidaiwa kuwa kilitokana na kipigo cha Mwalimu aliyemtuhumu kwa kumuibia pochi yake lake.

Aidha amewataka Watanzania wawe na amani na utulivu katika kipindi hiki ambacho serikali inafanya kazi yake.

“Aliyefanya hivyo hajatumwa na serikali, nawaambia shule ni sehemu salama kwa namna yoyote asitokee mtu akawafanya wazazi wahofie kuwapeleka shule watoto wao,”amesema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari Mchanganyiko

Chongolo aagiza TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa bweni

Spread the loveMkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amemuagiza Kamanda wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Ugawaji taulo za kike watajwa kutokomeza utoro shuleni

Spread the loveBAADHI ya wanafunzi na walimu wa shule za sekondari mkoani...

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

error: Content is protected !!