Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Bobi Wine atinga mahakamani na magongo, aachiwa kwa dhamana
Kimataifa

Bobi Wine atinga mahakamani na magongo, aachiwa kwa dhamana

Spread the love

ROBERT Kyagulanyi ‘Bob Wine’ Mbunge wa jimbo la Kyadondo nchini Uganda na wabunge wengine watatu wameachiwa huru kwa dhamana na Mahakama Kuu mjini Gulu. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Wabunge hao watatu waliokuwa wakizuiliwa kwa takribani wiki mbili wameachiwa huru leo tarehe 27 Agosti, 2018 pamoja na watuhumiwa wengine nane.

Uamuzi huo wa mahakama umetolewa na Steven Mubiru, Jaji wa Mahakama Kuu.

Kabla ya watuhumiwa hao kuachiwa huru, Atiku Shabani mmoja kati ya watuhumiwa katika kesi hiyo alianguka ghafla wakati kesi hiyo ikisikilizwa katika chumba cha mahakama kuu ya Gulu.

Leo tarehe 27 Agosti, 2018 watuhumiwa wa kesi hiyo walifikishwa mahakamani kwa ajili ya usikilizwaji wa maombi yao ya dhamana.

Kufuatia tukio hilo, Jaji Mubiru aliamuru mtuhumiwa huyo kutolewa nje ya chumba cha mahakama.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!