Wednesday , 6 December 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Bobi Wine atinga mahakamani na magongo, aachiwa kwa dhamana
Kimataifa

Bobi Wine atinga mahakamani na magongo, aachiwa kwa dhamana

Spread the love

ROBERT Kyagulanyi ‘Bob Wine’ Mbunge wa jimbo la Kyadondo nchini Uganda na wabunge wengine watatu wameachiwa huru kwa dhamana na Mahakama Kuu mjini Gulu. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Wabunge hao watatu waliokuwa wakizuiliwa kwa takribani wiki mbili wameachiwa huru leo tarehe 27 Agosti, 2018 pamoja na watuhumiwa wengine nane.

Uamuzi huo wa mahakama umetolewa na Steven Mubiru, Jaji wa Mahakama Kuu.

Kabla ya watuhumiwa hao kuachiwa huru, Atiku Shabani mmoja kati ya watuhumiwa katika kesi hiyo alianguka ghafla wakati kesi hiyo ikisikilizwa katika chumba cha mahakama kuu ya Gulu.

Leo tarehe 27 Agosti, 2018 watuhumiwa wa kesi hiyo walifikishwa mahakamani kwa ajili ya usikilizwaji wa maombi yao ya dhamana.

Kufuatia tukio hilo, Jaji Mubiru aliamuru mtuhumiwa huyo kutolewa nje ya chumba cha mahakama.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Muandamanaji ajichoma moto akipinga vita Palestina, Israel

Spread the loveMUANDAMANAJI moja ambaye hajafahamika jina, yuko mahututi hospitalini akitetea uhai...

Kimataifa

Urusi kuongeza wanajeshi ikijihami dhidi ya NATO

Spread the loveSERIKALI ya Urusi iko katika mpango wa kuongeza wanajeshi wake,...

Kimataifa

Israel yarejesha mashambulizi Gaza ikilaumu Hamas kukiuka makubaliano

Spread the loveJESHI la Israel, limerejesha mashambulizi katika ukanda wa Gaza, baada...

Kimataifa

Papa Francis kumfukuza Kardinali anayepinga mageuzi Kanisa Katoliki

Spread the loveKIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, anadaiwa kupanga kumfumkuza...

error: Content is protected !!