Saturday , 4 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Kimbunga chamia Marekani, chaua watu saba
Kimataifa

Kimbunga chamia Marekani, chaua watu saba

Spread the love

WATU saba wamefariki nchini Marekani na wengine zaidi ya 1000 hawana makaazi ya kuishi kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katikati ya mji wa Texas nchini Marekani ambazo zimeambatana na kimbunga kiitwacho Hurricane Hurvey, anaandika Irene David.

Kimbunga hicho kimekumba jimbo la Houston nchini humo ambacho kimesababisha uhabifu huo. Rais wa Marekani, Donald Trump, leo anatarajiwa kutembelea maeneo hayo yaliyoathiriwa na mafuriko.

Shughuli za uokoaji mpaka sasa bado zinaendelea japo bado hali si shwari kutokana na mafuriko hayo kuendelea kuwa mengi kutokana na kimbunga hicho cha Hurvey.

Jambo hili litakuwa ni janga la kiasili kutokea kwa mara ya kwanza Trump aingie madarakani.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!