Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Marekani yaziwekea vikwazo Urusi, Korea
Kimataifa

Marekani yaziwekea vikwazo Urusi, Korea

Spread the love

BARAZA la Wawakilishi nchini Marekani limepiga kura ya kziwekea vikwazo nchi za Urusi, Korea Kaskazini na Iran kutokana na kufanya makosa mbalimbali, anaandika Irene David.

Akizungumza na Baraza hilo, David Ciciline kutoka chama cha Demokratic amesema, Urusi inahitajika kuchukuliwa hatua kwa kosa la kuingilia Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana, sambamba na Korea Kaskazini na Iraq kuadhibiwa kwa kosa la kufanya majaribio ya makombora.

Shirika la ujasusi CIA ambalo limekuwa likichunguza kwa umakini uhusiano huu kati ya Marekani na Urusi, limebaini kuwa katika utawala wa Putin ulimsaidia Rais Donald Trump kumharibia sifa mpinzani wake, Hillary Clinton katika uchaguzi wa mwaka jana.

Rais wa Marekani Donald Trumph na timu yake wamekana kutohusishwa kwa Urusi na Rais wake Vladimir Putin, katika uchaguzi uliopita japo bado jambo hili linatiliwa mashaka.

Mpaka sasa bado polisi nchini Marekani chini ya Shirika la Ulinzi na Usalama (FBI) linaendelea kuchunguza kwa umakini suala hili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!