Saturday , 27 April 2024

Day: April 18, 2019

Habari Mchanganyiko

Tapeli wa ‘Tuma kwenye namba hizi’ matatani

MAMLAKA ya  Mawasiliano Tanzania ( TCRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi limemfikisha kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Fadhili Mahenge anayedaiwa kumiliki...

Habari Mchanganyiko

Matapeli waliotumia jina la Mke wa Magufuli kizimbani, wakosa dhamana

WATU wanne wamefikishwa katika Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kutumia jina la Mke wa Rais, John Magufuli, Janneth Magufuli kutapeli watu....

Habari Mchanganyiko

Uhuru vyombo vya habari wahojiwa bungeni

MALALAMIKO ya kuminywa kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini, yameibuka tena leo tarehe 18 Aprili 2019 bungeni jijini Dodoma. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Niko njiani kurejea nyumbani

MBUNGE wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesema, ataweza kurejea nyumbani muda wowote kutoka sasa, mara baada ya kushauriana na madaktari wake. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Mbowe atikiswa tena Hai, wenyeviti 13 watimkia CCM

JIMBO la Hai linaloongozwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limetikiswa tena. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Ni baada...

Michezo

Familia ya Mzee Majuto, Kanumba zalamba mamilioni

KAMATI iliyoundwa na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa ajili ya kupitia mikataba ya wadau wa filamu, imetoa matokeo chanya kwa...

Afya

Kifafa ugonjwa unaotaabisha wakazi Wilaya ya Ulanga

GODLUCK Mlinga, Mbunge wa Ulanga (CCM) amesema kuwa, Wilaya ya Ulanga inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wa kifafa Tanzania na duniani. Anaripoti Danson...

Habari za Siasa

Mbunge CCM: Kwanini elimu ya Muungano isitolewe?

RITTA Kabati, Mbunge wa Viti Maalum (CCM), ametaka Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kuona uwezekano wa kupeleka...

Habari za Siasa

Dk. Tulia ang’oa hotuba ya Sugu bungeni

SPIKA wa Bunge, Dk.Tulia Ackson ameamuru kuondolewa kwenye kumbukumbu za bunge Hotuba ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa Mwaka wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kibano; Wakili Chadema Vs Shahidi Jamhuri

SHAHIDI  wa kwanza kwenye ya kesi uchochezi  inayowakabili viongozi wa Chadema, ameeleza kwamba hajui sababu za muuaji wa Akwelina Akwilini kutofikishwa mahakamani mpaka...

Kimataifa

Rais ajiua kwa risasi kukwepa kukamatwa na Jeshi

RAIS Mstaafu wa nchi ya Peru, Alan Garcia amejiua  kwa kujipiga risasi akikwepa kuingia mikononi mwa Jeshi la Polisi la nchi hiyo, kufuatia...

error: Content is protected !!