Monday , 11 December 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Watu 100 wafariki katika shambulio Syria
Kimataifa

Watu 100 wafariki katika shambulio Syria

Spread the love

 

WATU takribani 100 wamefariki dunia nchini Syria, kutokana shambulio la ndege zisizo na rubani liliopiga kwenye Chuo cha kijeshi cha taifa hilo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Ndege hizo zisizo na rubani zinadaiwa kubeba vilipuzi ambavyo viliathiri mamia ya watu waliokuwepo katika chuo hicho kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kuhitimu mafunzo. Miongoni mwa waliopoteza maisha ni wanawake na watoto.

Waziri wa Afya Syria, Hassan al-Gabbash, amesema watu zaidi ya 200 wamejeruhiwa katika tukio hilo.

Jeshi la Syria limelaumu vikundi vya kigaidi likidai vimetekeleza tukio hilo la mauaji ya mamia ya watu wasiokuwa na hatia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Sakata la uhamiaji Rwanda lamng’oa waziri Uingereza

Spread the loveWaziri wa Uhamiaji wa Uingereza, Robert Jenrick amejiuzulu baada ya...

Kimataifa

Muandamanaji ajichoma moto akipinga vita Palestina, Israel

Spread the loveMUANDAMANAJI moja ambaye hajafahamika jina, yuko mahututi hospitalini akitetea uhai...

Kimataifa

Urusi kuongeza wanajeshi ikijihami dhidi ya NATO

Spread the loveSERIKALI ya Urusi iko katika mpango wa kuongeza wanajeshi wake,...

Kimataifa

Israel yarejesha mashambulizi Gaza ikilaumu Hamas kukiuka makubaliano

Spread the loveJESHI la Israel, limerejesha mashambulizi katika ukanda wa Gaza, baada...

error: Content is protected !!