Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Watu 100 wafariki katika shambulio Syria
Kimataifa

Watu 100 wafariki katika shambulio Syria

Spread the love

 

WATU takribani 100 wamefariki dunia nchini Syria, kutokana shambulio la ndege zisizo na rubani liliopiga kwenye Chuo cha kijeshi cha taifa hilo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Ndege hizo zisizo na rubani zinadaiwa kubeba vilipuzi ambavyo viliathiri mamia ya watu waliokuwepo katika chuo hicho kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kuhitimu mafunzo. Miongoni mwa waliopoteza maisha ni wanawake na watoto.

Waziri wa Afya Syria, Hassan al-Gabbash, amesema watu zaidi ya 200 wamejeruhiwa katika tukio hilo.

Jeshi la Syria limelaumu vikundi vya kigaidi likidai vimetekeleza tukio hilo la mauaji ya mamia ya watu wasiokuwa na hatia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!