Saturday , 11 May 2024
Habari za SiasaTangulizi

Pole Maalim Seif

Spread the love

ALIYEKUWA mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro, ameondoka chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi  (CCM). Anaripoti Saed Kubenea … (endelea).

Akitangaza uamuzi wake huo mbele ya waandishi wa habari, Mtatiro alisema, ameamua kuchukua hatua hiyo kwa kuwa anataka kuwa “balozi bora wa Rais John Magufuli, ndani na nje ya nchi.”

Kuondoka kwa Mtatiro, kunalenga moja kwa moja kumdhoofisha “jabari la kisiasa” Visiwani, Maalim Seif Shariff Hamad.

Maalim Self amekuwa mwiba mkali kwa CCM na serikali yake, Tanzania Bara na Zanzibar – kabla na baada ya mfumo wa vyama vingi nchini.

Uchambuzi kamili juu ya kuondoka kwa Mtatiro, athari zake na uimara wa Maalim Self, soma MwanaHALISI Online kesho.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Vijana UVCCM Kagera wataka mwenyekiti wao ajiuzulu

Spread the loveVIJANA wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera wamemtaka Mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina awavaa mawaziri wanaompelekea majungu Rais Samia

Spread the loveMBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amewataka baadhi ya mawaziri...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

THRDC, Wizara ya Katiba wajadili uanzishaji haki binadamu katika biashara

Spread the loveMTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umefanya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Sitta ang’ang’ana wanafunzi watibiwe bure, Serikali yagoma

Spread the loveMBUNGE wa Urambo, Margaret Sitta, ameishauri Serikali iweke utaratibu wanafunzi...

error: Content is protected !!