Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Maisha Burudika Mrembo Mobetto atisha tena, apata dili nono
Burudika

Mrembo Mobetto atisha tena, apata dili nono

Hamisa Mobetto, mwanamitindo
Spread the love

 

MWANAMITINDO na msanii wa muziki wa bongo fleva Hamisa Mobetto, nyota yake imeendelea ku’ngaa baada ya kusaini mkataba mpya na kampuni ya kutengeneza nywele (Prima Afro). Anaripoti Matrida Peter…(endelea)

Mrembo huyo amesaini mkataba huo leo Agosti 16, jijini Dar es Salaam na kuendelea kufanya kazi na kampuni hiyo, katika miaka minne mfululizo.

Katika hafla ya utiaji saini wa mkataba huo, Meneja masoko msaidizi wa kampuni ya Prima Afro Novatus Heshima amesema, kuwa “Tunayofuraha kufanya kazi na mrembo huyo kwa sababu ni kioo cha jamii pia ni mfano bora kwa warembo na watu wote wanaopenda kupendeza”

https://www.youtube.com/watch?v=7kkE5w3Tr6A

Pia amesema wataendelea kufanyanae kazi nyingine pia zaidi ya nywele kwani amekuwa ni mchapakazi  na kuzitangaza vyema bidhaa zao za nywele

Hata hiyo hamisa ametoa shukrani kwa kampuni hiyo kwa kuendelea kumuamini ka kuahidi kufanya yale yote yaliyo ndani ya makubaliano yao.

Mrembo huyo amekuwa akilamba dili nyingi kipindi hiki na kufanya kazi na makampuni mbalimbali na hata serikalini, mara baada ya kuteuliwa kuwa moja ya wahamasishaji wa ulipaji kodi na waziri wa fedha na mipango mh. Mwigulu Nchemba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BurudikaMichezo

Kizz Daniel aunguruma na EP mpya ‘Thankz alot’

Spread the loveMKALI wa muziki nchini Nigeria, Kizz Daniel ametoa EP yake...

BurudikaHabari za Siasa

Samia amchangia Professa Jay mil. 50, Chadema, wasanii wamwaga manoti

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh 50 milioni...

Burudika

Piga makofi kwa Mr. Eazi …achomoka na ‘The Evil Genius’

Spread the loveMAKOFI kwa Mr Eazi! Staa wa Afropop, Mr Eazi ameachia...

Burudika

Kishindo cha Afro B katika “Wo wo wo” akiwa na Rich the Kid&Rimzee

Spread the loveSTAA ambaye alitambulishwa na ngoma maarufu, Afrowave ‘Drogba’, Afro B,...

error: Content is protected !!