Monday , 13 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Msajili vyama vya siasa ateta na viongozi Chadema
Habari za Siasa

Msajili vyama vya siasa ateta na viongozi Chadema

Spread the love

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi  leo Alhamisi amekutana kwa mazungumzo na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na kujadili namna ya kuimarisha demokrasia nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).


Mbowe ambaye pia alikuwa ameambatana na Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika pamoja na Katibu wa Baraza la Wazee (BAZECHA), Rodrick Rutembeka amekutana na Msajili baada ya kumaliza kikao chenye lengo la kuimarisha demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini.

Kikao hicho kilifanyika kwenye ofisi ndogo za Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa mtaa wa Shaaban Robert jijini Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Msukuma aibana Serikali ujenzi nyumba za watumishi Geita DC

Spread the loveMBUNGE wa Geita, Joseph Msukuma (CCM) ameishauri Serikali kutenga bajeti...

AfyaHabari za Siasa

Vifo vitokanavyo na UKIMWI vyapungua

Spread the loveVIFO vinavyosababishwa na Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI), vimepungua kutoka...

AfyaHabari MchanganyikoHabari za Siasa

NBC yazindua kadi uanachama msalaba mwekundu

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Dk. Biteko: Serikali itaendelea kushirikiana na Red Cross

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!