Monday , 6 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa #LIVE: CCM Dar wakimpokea Kinana
Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: CCM Dar wakimpokea Kinana

Spread the love

 

CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, leo Jumapili tarehe 10 Aprili 2022, wanampokea Makamu Mwenyekiti wa chama hicho-Bara, Abdulraham Kinana. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mapokezi hayo yanafanyika Ukumbi wa Diamond Jublee ambapo wanachama na viongozi mbalimbali akiwemo Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo wamejitokeza kwa wingi na kuujaza.

Kinana anapokelewa Dar es Salaam baada ya kuchaguliwa na wajumbe wa mkutano mkuu maalum tarehe 1 Aprili 2022 jijini Dodoma akichukua nafasi ya Philip Mangula aliyetangaza kung’atuka baada ya kukitumikia kwa kipindi kirefu.

Kinana amewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho.

Fuatilia moja kwa moja kupitia MwanaHALISI TV

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

Habari za SiasaTangulizi

Mkulo afariki dunia, kuzikwa kesho Kilosa

Spread the loveALIYEKUWA Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kilosa (CCM), Mustafa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Usafiri baharini wasitishwa kukwepa athari za kimbunga Hidaya

Spread the loveUSAFIRI wa baharini umesimamishwa kwa muda ili kukwepa athari za...

error: Content is protected !!