Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa #LIVE: CCM Dar wakimpokea Kinana
Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: CCM Dar wakimpokea Kinana

Spread the love

 

CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, leo Jumapili tarehe 10 Aprili 2022, wanampokea Makamu Mwenyekiti wa chama hicho-Bara, Abdulraham Kinana. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mapokezi hayo yanafanyika Ukumbi wa Diamond Jublee ambapo wanachama na viongozi mbalimbali akiwemo Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo wamejitokeza kwa wingi na kuujaza.

Kinana anapokelewa Dar es Salaam baada ya kuchaguliwa na wajumbe wa mkutano mkuu maalum tarehe 1 Aprili 2022 jijini Dodoma akichukua nafasi ya Philip Mangula aliyetangaza kung’atuka baada ya kukitumikia kwa kipindi kirefu.

Kinana amewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho.

Fuatilia moja kwa moja kupitia MwanaHALISI TV

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!