Monday , 6 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Haya hapa matokeo ya mtihani wa Darasa la Saba 2021
ElimuTangulizi

Haya hapa matokeo ya mtihani wa Darasa la Saba 2021

Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde
Spread the love

 

BARAZA la Mitihani la Taifa Tanzania (NECTA), leo limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (Darasa la Saba) mwaka 2021.

Akitangaza matokeo hayo leo Oktoba 30, 2021, Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde amesema kuwa mkoa wa Dar es Salaam umefanya vizuri zaidi katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba kwa mwaka 2021, ikifuatiwa na mikoa ya Iringa na Mbeya.

Kutazama matokeo ingia hapa 

9 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

Habari za SiasaTangulizi

Mkulo afariki dunia, kuzikwa kesho Kilosa

Spread the loveALIYEKUWA Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kilosa (CCM), Mustafa...

error: Content is protected !!