Monday , 6 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia aweka shada la maua kaburi Hayati Magufuli
Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aweka shada la maua kaburi Hayati Magufuli

Rais Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua katika kaburi la Hayari John Magufuli
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameweka shada la maua kaburi la aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Hayati John Pombe Magufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu, Geita … (endelea).

Ni leo Alhamisi, tarehe 14 Oktoba 2021, nyumbani kwa Hayati Magufuli, Chato mkoani Geita.

Rais Samia amefika nyumbani kwa Hayati Magufuli akiwa njiani kwenda Uwanja wa Magufuli, kuhudhuria kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru 2021.

Magufuli, alifikwa na mauti saa 12 jioni ya tarehe 17 Machi 2021, katika Hospitali ya Mzena, iliyopo Makumbusho jijini Dar es Salaam na mwili wake, kuzikwa 26 Machi 2021.

Mara baada ya kifo hicho, Samia aliyekuwa Makamu wa Rais, aliapishwa kuwa Rais tarehe 19 Machi 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

error: Content is protected !!