Monday , 6 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia ampongeza mshindi wa Nobel aliyejinyakulia bilioni 2
Habari Mchanganyiko

Rais Samia ampongeza mshindi wa Nobel aliyejinyakulia bilioni 2

Rais Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amempongeza, Abdulrazak Gurnah kwa kutwaa tuzo ya amani ya Nobel katika fasihi 2021, kutokana na kuangazia suala la ukoloni na athari zake katika utunzi wake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Gurnah (73) ambaye ni Mwandisi wa riwaya nchini Tanzania alitangazwa mshindi jana Alhamisi, tarehe 7 Oktoba 2021 na Kituo hicho kinachotoa tuzo hizo za Nobel.

Profesa huyo wa fasihi ametwaa tuzo hiyo iliyotolewa na kituo hicho cha Sweden ina thamani ya corona milioni 10 za taifa hilo sawa na Sh bilioni 2.6.

Mara baada ya kutangazwa mshindi, Rais wa Tanzania, Samia ametumia ukurasa wake wa twitter kumpongeza mwana fasihi huyo.

“Nakupongeza Bw. Abdulrazak Gurnah kwa kutunukiwa Tuzo ya Nobel katika fasihi ya mwaka 2021. Tuzo hii ni heshima kwako, Taifa letu la Tanzania na Afrika,” ameandika Rais Samia

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tanzania  yasisitiza kuwa Kituo Kikuu cha Uchimbaji Madini Afrika

Spread the loveTanzania imeendelea kusisitiza adhma yake ya kuwa kituo kikuu cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Usafiri baharini wasitishwa kukwepa athari za kimbunga Hidaya

Spread the loveUSAFIRI wa baharini umesimamishwa kwa muda ili kukwepa athari za...

Habari Mchanganyiko

RPC Dodoma akabidhiwa bunduki mbili za wahalifu

Spread the love  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya...

error: Content is protected !!