Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Tangulizi Anayetafutwa na FBI apewa uongozi Afghanistan
Tangulizi

Anayetafutwa na FBI apewa uongozi Afghanistan

Spread the love

 

SIKU chache baada ya kuung’oa madarakani uongozi wa Afghanistan, wanamgambo wa kundi la Taliban wametangaza serikali mpya ya mpito nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Pia, wamemteua Sirajuddin Haqqani mtuhumiwa wa ugaidi anayesakwa na Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi.

Serikali hiyo itaongozwa na Mullah Mohammad Hassan Akhund, huku mwanzilishi mwenzawa Taliban, Mullah Abdul Ghani Baradar atakuwa Naibu Waziri Mkuu.

Fuatilia kujua undani wa habari hi

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

Spread the loveSERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Walimu 5000 Songwe waililia CWT kuwanyima sare

Spread the loveZaidi ya walimu 5000 ambao ni wanachama wa Chama cha...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

error: Content is protected !!