Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Michezo Bodi ya Ligi yahairisha tena mechi ya Simba
MichezoTangulizi

Bodi ya Ligi yahairisha tena mechi ya Simba

Spread the love

 

MARA baada ya kuahirisha mchezo dhidi ya Yanga bodi ya Ligi Kuu imeahirisha tena mchezo wa Simba dhidi ya Coastal union kutoka Tanga kutoka na Simba kuwa safarili kuelekea nchini Afrika kusini kwenye mchezo dhidi ya Kaizer Chiief utakaopigwa Tarehe 15 Mei 2021. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Mchezo huo ulipangwa kuchezwa Tarehe 11 Mei 2021, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Simba itaondoka kesho jumanne majira ya saa 9 usiku kuelekea Afrika kusini wakipitia Kenya kwenye mchezo wa Robo Fainali ya klabu bingwa barani Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs.

Barua ya Bodi ya ligi kwenda kwa katibu wa klabu ya Coastal union imeeleza kuwa mchezo huo utapangiwa siku nyingine.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

error: Content is protected !!