Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Odinga apimwa COVID-19, alazwa hospitalini
Kimataifa

Odinga apimwa COVID-19, alazwa hospitalini

Raila Odinga
Spread the love

 

RAILA Odinga, kiongozi wa chama cha upinzani cha ODM, amefikishwa katika Hospitali ya Nairobi, Kenya na kuchukuliwa vipimo vya corona (COVID-19). Umeeleza mtandao wa The Standard Kenya … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa na kaka yake, Oburu Odinga leo Jumatano tarehe 10 Machi 2021, kwamba kiongozi huyo wa upinzani amekwenda hospitali hiyo leo asubuhi.

“Odinga amechukuliwa vipimo vya COVID-19, lakini mpaka sasa majibu yake hayajatoka,” amesema Oburu na kuongeza “amekuwa akilalamika uchovu na maumivu.”

Oburu amesema, mdogo wake alieleza kulalamikia maumivu ambapo aliamua kusitisha ziara yake ya Pwani, alipokua katika eneo la Karen.

Mara baada ya kuchukuliwa vipimo hivyo, kiongozi huyo wa upinzani, hakuruhusiwa kutoka hospitalini hapo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!