Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Milioni 91 wapona corona duniani
Kimataifa

Milioni 91 wapona corona duniani

Spread the love

 

MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19), ulimwenguni yamefikia milioni 116.22 huku waliopona maambukizi hayo wakiwa milioni 91.89. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Waliofariki kutokana na maambukizo hayo hadi leo Ijumaa asubuhi tarehe 5 Machi 2021, ni milioni 2.58.

Marekani ndiyo Taifa ulimwenguni, linaongoza kwa kuwa na maambukizo mengi ambayo yamefikia milioni 29.52, waliofariki ni 533,636 huku waliopona wakiwa milioni 20.

India inafuatia ikiwa na maambukizo milioni 11.17, waliofariki 157,584 na waliopona milioni 10.83.

Brazil, inashika nafasi ya tatu ikiwa na maambukizo milioni 10.7, waliofariki 261,188 na waliopona maambukizo hayo wakiwa milioni 9.6.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!