Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Maisha Afya Dar kupuliziwa dawa kuangamiza vimelea vya corona
Afya

Dar kupuliziwa dawa kuangamiza vimelea vya corona

Paul Makonda, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
Spread the love

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ameagiza kupuliziwa dawa ya kuua vimelea vya ugonjwa wa corona (COVID-19) katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea).

Ametoa agizo hilo alipokuwa katika Stendi ya Mabasi ya Mikoani, Ubungo leo tarehe 24 Machi 2020. Makonda amesema, ni vizuri kupulizwa dawa ikiwa ni hatia ya kukabiliana na kuenea kwa virusi hivyo.

Ameeleza kwamba, ametembeleastendi hiyo kuangalia iwapo watoa huduma wanazingatia miongozi iliyotolewa na serikali katika kukabiliana na maambukizi mapya ya virusi hivyo.

Akizungumzia msongamano katika daladala jijini Dar es Salaam, Makonda amesema ni bora kuchelewa kuliko mtu kujiingiza kwenye hatari ya kupanda daladala lililofurika na kuwa kwenye hatari ya kuambukizwa virusi hivyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

AfyaHabari Mchanganyiko

Songwe katika mikakati ya elimu ya lishe kudhibiti udumavu

Spread the love  SERIKALI mkoani Songwe imejipanga kuendelea kutoa elimu ya lishe...

Afya

Mloganzila yajipanga kupandikizaji wa ini

Spread the love  HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imesema kutokana na uwekezaji uliofanywa...

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

Spread the loveSERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya...

error: Content is protected !!