Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Maisha Afya Dar kupuliziwa dawa kuangamiza vimelea vya corona
Afya

Dar kupuliziwa dawa kuangamiza vimelea vya corona

Paul Makonda, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
Spread the love

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ameagiza kupuliziwa dawa ya kuua vimelea vya ugonjwa wa corona (COVID-19) katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea).

Ametoa agizo hilo alipokuwa katika Stendi ya Mabasi ya Mikoani, Ubungo leo tarehe 24 Machi 2020. Makonda amesema, ni vizuri kupulizwa dawa ikiwa ni hatia ya kukabiliana na kuenea kwa virusi hivyo.

Ameeleza kwamba, ametembeleastendi hiyo kuangalia iwapo watoa huduma wanazingatia miongozi iliyotolewa na serikali katika kukabiliana na maambukizi mapya ya virusi hivyo.

Akizungumzia msongamano katika daladala jijini Dar es Salaam, Makonda amesema ni bora kuchelewa kuliko mtu kujiingiza kwenye hatari ya kupanda daladala lililofurika na kuwa kwenye hatari ya kuambukizwa virusi hivyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

Spread the loveSERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Bima ya afya kwa wote kuanza Aprili, wajane kicheko

Spread the loveSHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika...

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

Spread the loveSERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wanavijiji wajenga zahanati kukwepa umbali mrefu kupata huduma

Spread the loveWANAVIJIJI wa Kata ya  Musanja Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani...

error: Content is protected !!