Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mahujaji wa DRC wazuiwa kuingia Makka kisa Ebola
Kimataifa

Mahujaji wa DRC wazuiwa kuingia Makka kisa Ebola

Spread the love

NCHI ya Saudi Arabia imegoma kutoa hati ya kusafiria ‘Viza’ kwa mahujaji kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ikihofia mlipuko wa ugonjwa wa Ebola. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia imesema uamuzi huo umefikiwa baada ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kutangaza kwamba nchi ya DRC ina mlipuko wa Ebola.

Wizara hiyo imesema hatua hiyo ya kuzuia watu kutoka DRC kuhiji Makka ni kulinda usalama wa mahujaji kutoka katika mataifa mengine.

Imamu Djuma Twaha, Kiongozi wa Waislamu nchini DRC amesema watu 410 nchini humo walipanga kwenda kuhiji mjini Makka mwezi huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!