Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Wanaume watinga ofisini na mavazi ya kike
Kimataifa

Wanaume watinga ofisini na mavazi ya kike

Spread the love

WAFANYAKAZI wa Kiume katika kampuni ya Chloride Exide nchini Kenya, wametinga ofisini wakiwa wamevaa mavazi ya kike ikiwa ni mkakati wao wa kuhamasisha jamii kuhusu masuala ya afya ya wanawake. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Kutokana na kalenda ya maradhi iliyotolewa na Shirika la Afya duniani (WHO) mwezi Oktoba kila mwaka ni mwezi maalum kwa ajili ya kuongeza uelewa kuhusu saratani ya matiti hasa kwa wanawake.

Wafanyakazi hao wamechukua uamuzi huo ikiwa sehemu ya maadhimisho ya siku ya saratani matiti duniani inayotarajiwa kufanyika mwezi huu.

Mtendaji Mkuu wa Chloride Exide aliongoza wafanyakazi wa kiume katika kampuni hiyo kuvaa mavazi ya kike, katika hafla ya wiki ya wateja iliyoafanyika kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!