Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Mzee Majuto afariki dunia
MichezoTangulizi

Mzee Majuto afariki dunia

Spread the love

MUIGIZAJI maarufu Amir Athuman (Mzee Majuto) amefariki dunia usiku huu kwenye Hospital ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akitibiwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Mzee Majuto ameripotiwa kufariki majira ya saa 2 usiku hospitalini hapo alipokuwa anatibiwa kwa wiki wiki mbili.

Taarifa za kifo cha King Majuto zimethibitishwa na mtoto wake Abuobakari.

King Majuto alizaliwa mwaka 1948 mkoani Tanga na kusoma Shule Msambweni, mkoani humo, alianza kuigiza 1958 akiwa na umri wa miaka 10.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

Spread the loveSERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Walimu 5000 Songwe waililia CWT kuwanyima sare

Spread the loveZaidi ya walimu 5000 ambao ni wanachama wa Chama cha...

error: Content is protected !!