Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais Kabila akaa pembeni Urais DR Congo
Kimataifa

Rais Kabila akaa pembeni Urais DR Congo

Joseph Kabila, Rais wa zamani wa DR Congo
Spread the love

VYAMA vinavyounda Muungano wa Common Front for Congo (FCC) umemteua aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini humo, Emannuel Shadari kuwa mrithi wa Rais Joseph Kabila. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Uamuzi huo umekuja baada ya muungano huo kufanya kikao cha dharula hapo jana mjini Kinshasa ambapo walilipitisha jina la Shadari kugombea kiti cha urais kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Shadari amewasilisha fomu za kuwania urais kwenye Tume ya Uchaguzi Congo leo majira ya mchana.

Shadari anadaiwa kuwa na mahusiano ya karibu na Rais Kabila na aliwahi kuwa Katibu wa Kudumu wa chama tawala cha PPRD. Pia, Shadari anatajwa kwamba, alikuwa mtu wa muhimu kwenye kampeni za Rais Kabila.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!