Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais Kabila akaa pembeni Urais DR Congo
Kimataifa

Rais Kabila akaa pembeni Urais DR Congo

Joseph Kabila, Rais wa zamani wa DR Congo
Spread the love

VYAMA vinavyounda Muungano wa Common Front for Congo (FCC) umemteua aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini humo, Emannuel Shadari kuwa mrithi wa Rais Joseph Kabila. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Uamuzi huo umekuja baada ya muungano huo kufanya kikao cha dharula hapo jana mjini Kinshasa ambapo walilipitisha jina la Shadari kugombea kiti cha urais kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Shadari amewasilisha fomu za kuwania urais kwenye Tume ya Uchaguzi Congo leo majira ya mchana.

Shadari anadaiwa kuwa na mahusiano ya karibu na Rais Kabila na aliwahi kuwa Katibu wa Kudumu wa chama tawala cha PPRD. Pia, Shadari anatajwa kwamba, alikuwa mtu wa muhimu kwenye kampeni za Rais Kabila.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

Spread the love  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

Spread the love  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali...

Kimataifa

Netanyau asitisha mipango yenye utata marekebisho mfumo wa sheria

Spread the love  WAZIRI Mkuu wa nchini Israel, Benjamin Netanyahu amesema atachelewesha...

Kimataifa

Raila ahutubia waandamanaji, mabomu yarindima

Spread the loveMSAFARA wa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga...

error: Content is protected !!