Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Wawa, Miquison warejea kikosini, Kuwavaa Namungo Jumapili
Michezo

Wawa, Miquison warejea kikosini, Kuwavaa Namungo Jumapili

Spread the love

WACHEZAJI wa klabu ya Simba, Pascal Wawa na Luis Miquison wamerejea leo kikosini kwa kuingia kambini baada ya kuwasili leo nchini kutoka kwenye nchi zao walipokuwa wameenda kimapumziko. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Wachechaji hao ambao wamerudi nchini leo mchana na watakuwa sehemu ya kikosi kitakachosafiri kwenda Jijini Arusha ambapo Simba itakuwa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Namungo FC, utakaochezwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Wachezaji hao waliondoka nchini mara baada ya msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2019/20 kumalizika na wote kwa nyakati tofauti walienda kufunga ndoa.

Miquison alifunga ndoa yake na mwenza wake tarehe 22 Agosti, 2020 kama taarifa kutoka kwenye uongozi wa klabu hiyo zilivyoeleza.

Taarifa za kurejea kwao zimetolewa kupitia kurasa za mitandao ya kijamii ya klabu hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!