Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa UN yazigeukia nchi za Afrika msimamo vita Ukrenia
Kimataifa

UN yazigeukia nchi za Afrika msimamo vita Ukrenia

Spread the love

 

BALOZI wa Marekani katika Umoja wa Mataifa , amesema kuwa mataifa ya Afrika hayawezi kubaki kutounga mkono upande wowote katika vita ya Ukraine. Inaripoti BBC.

Taarifa hiyo imekuja baada ya Linda Thomas – Greenfield kuzungumza na BBC na kubaini kuwa katika kura ,iliyopigwa kwenye mkutano wa Baraza Kuu, wiki mbili zilizopita zilionesha kuchukiwa kwa uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine katika ,nchi 17 za Afrika, ambazo ni nusu ya Dunia nzima , zilijizuia na nyingine nane hazikupiga kura kabisa.

Hata hivyo Balozi huyo alisema kwamba hakuweza kuwa na msingi kwenye kutoegemea upande wowote , kwakuwa mgogoro huo haukuwa wa mashindano ya Vita Baridi kati ya nchi za Magharibi na Urusi .

Aidha Thomas -Greenfield amesema, Marekani ilikuwa ikisaidia kutafuta vyanzo mbadala vya bidhaa ambazo nchi huagiza kutoka Urusi.

Mwanadiplomasia huyo amesema kwamba Marekani itaunga mkono pendekezo la Afrika Kusini la Kupatanisha Urusi na Ukraine.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!