Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Chama kikuu upinzani Sudan Kusuini wajiondoa bodi ya amani
Kimataifa

Chama kikuu upinzani Sudan Kusuini wajiondoa bodi ya amani

Spread the love

 

CHAMA kikuu cha Upinzani nchini Sudani Kusini , kimejiondoa kwenye Baraza la ufuatiliaji wa amani nchini humo , kikishutumu vikosi vinavyohasimiana kwa mashambulizi yasiyo na msingi. Inaripoti BBC … (endelea).

Aidha chama hicho cha upinzani cha Sudani Kusini , People’ s Liberation Movement kilisema kuwa shambulio hilo la hivi punde la silaha , lilifanyika siku ya Jumatatu ya tarehe 21 machi 2022.

Hata hivyo, chama hicho kinaongozwa na Makamu wa Rais, Riek Machar ambaye miaka miwili iliyopita aliunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa na aliyekuwa adui yake Salva Kiir.

Pia kuendelea kwa mvutano kati ya viongozi hao wawili , kumezuia kutekelezwa kwa makubaliano ya amani yenye lengo la kumaliza vita vya wenyewew kwa wenyewe, vya miaka mitano ambapo watu 400,000 wameuawa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!