Monday , 6 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Majaliwa ahimiza Watanzania kuwekeza kwenye chikichi
Habari Mchanganyiko

Majaliwa ahimiza Watanzania kuwekeza kwenye chikichi

Zao la chikichi inayotoa mafuta ya mawese
Spread the love

 

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amewahimiza wakazi wa Kigoma na watanzania kuwekeza katika zao la mchikichi na kusisitiza ndio fursa ya kukuza uchumi wa Taifa. Anaripoti Eliabu Kanyika (DSJ) … (endelea).

Majaliwa ametoa wito huo jana Jumapili, tarehe 26 Februari 2023 alipokuwa akizungumza na wawekezaji na wadau wa zao la chikichi mkoani Kigoma.

Katika kutekeleza dhana hiyo ya upandaji wa chikichi amesisitiza uongezekaji wa kasi katika upandaji wa michikichi kwakuwa michikichi ni fursa kwa kila mwananchi.

“Chikichi ni uchumi wa mtu mmoja mmoja na ni uchumi wa Kitaifa,” amesema Majaliwa.

Na pia amesisitiza wazazi kuwarithisha watoto wao uchumi katika zao la michikichi ambalo litawasaidia maishani mwao.

“Kama unataka kumrithisha mtoto mrithishe zao la mchikichi,” amesema Majaliwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

Habari Mchanganyiko

Tanzania  yasisitiza kuwa Kituo Kikuu cha Uchimbaji Madini Afrika

Spread the loveTanzania imeendelea kusisitiza adhma yake ya kuwa kituo kikuu cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Usafiri baharini wasitishwa kukwepa athari za kimbunga Hidaya

Spread the loveUSAFIRI wa baharini umesimamishwa kwa muda ili kukwepa athari za...

error: Content is protected !!